Mnapiga kelele huku huyo Jk anaingia huku? Alafu pia mjifunze uvumilivu ikifika 31 ya mwezi ndo hata ukilalama mtu anakuelewa sasa mtoa hoja tarehe 20 unataka malipo hahahaaaaaaa
Huyo Ally anaonekana ana majungu sana ukiisoma hiii habari inaonekana kabisa imekaa kimajungumajungu wadau mnatakiwa muwe mnang'amua mambo sio kutupa lawama tuuu kwa polisi kama ww mwandishi uliitwa ofisini kwa nn usingeenda ili kukusanya habari zote 2 then utoe maoni yako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.