Search results

  1. marko maluli

    Application za bodi ya mikopo (HESLB)

    Mim NIKIWEKA namba angu ya kidato Cha nne inagoma kabisa ila NIKIWEKA za watu wengine inakubali katika ufunguaji wa account hatua ya mwanzo kbsa
  2. marko maluli

    Application za bodi ya mikopo (HESLB)

    Mim mwenyewe inagoma mwanzo tu nikiandika taarifa za kidato Cha nne inasem an error
  3. marko maluli

    Car4Sale Magari ya bei nzuri yanauzwa

    Nahitaji gari IST NINA million 6
  4. marko maluli

    Ni ipi ngeli ya neno MAITI?

    I-ZI Mfano: (a). Maiti imeharibika -Maiti zimeharibika Sent using Jamii Forums mobile app
  5. marko maluli

    Ukisoma diploma ya Uongozi wa Elimu unaweza kusoma degree gani yenye soko?

    Habarini wana Jamiiforums, Nina ndugu yangu kasomea diploma ya Uongozi wa Elimu lakini anataka akasome degree. Nauliza: Je, akasomee kozi gani yenye soko? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. marko maluli

    Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

    Kuna mdogo anga kamaliza kozi ya ubibi afya ngazi ya diploma na amepata GPA 5.0 je anaweza pata scholarship? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. marko maluli

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Zimefutika kabisa haipo hata kwenye orodha ya channel naishi TABORA na natumia king'amuzi Cha antena Sent using Jamii Forums mobile app
  8. marko maluli

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    StarTimes Tanzania, Mimi Nina tatizo kuhusiana na huduma zenu natumia king'amuzi Cha star times lakin Kuna baadhi ya channel zimefutika kabisa hazionekani mfn: St swahili Sent using Jamii Forums mobile app
  9. marko maluli

    Wazibiti ubora wa shule

    Bado nakukanusha kwa point zako za kitoto hapo hujaongea la maana hata kidogo unapo sema mkaguzi ujue amepitia mafunzo kwahyo anautofauti mkubwa na wew ulie somea degree ya elimu .....tufike wakati tukubali matokeo
  10. marko maluli

    Wazibiti ubora wa shule

    Ndugu yangu tambua kuwa mtu aliye Anza na ngazi ya cheti na baadae akapiga diploma anakuwa na uwezo mkubwa kuliko yule Alie enda Moja kwa moja degree fuatilia Hilo harafu utaniambia
  11. marko maluli

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Napenda kuuliza katika NMB Kuna kitu kinaitwa SARALY ADVICE lakin mim Nina apps ya NMB CLICK kila nikijaribu kutaka kuchukua saraly advice wanasema your transaction is not complete tembelea tawi lolote la nmb ukiwa na passport kwann Sasa wakati wengine wanachukua kirahisi msaada hapo
  12. marko maluli

    Nisaidieni jinsi ya kuweka pesa TICKMILL

    Inazingua kwa password hatua ya pili eti niweke Latin letter Sent using Jamii Forums mobile app
  13. marko maluli

    Kuna tatizo katika kanuni za somo la hisabati!!!!!

    Mimi nimejifuza na nimeelewaaa Jambo wanapo sema SIFURI × NAMBA YOYOTE Ni sufuri ,na tujue kwamba kuzidisha kinyume chake Ni jumlisha mfano: 0 × 8 =0 inamaana 0 + 0 + 0 + 0 + 0 + 0 + 0 + 0 Mfano 2: 2 × 3 hi nataka kudhihilisha kuwa kinyume Cha × Ni + 2×3 utajumlsha mbili tatu nikiwa namaana 2 +...
  14. marko maluli

    Upweke unauma, natafuta mwenza

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23]
  15. marko maluli

    Natafuta rafiki wa kiume

    Utasubir Sana ndugu pole lkn
  16. marko maluli

    Wanawake na sms

    Ndivyo walivyo wezetu hapo alitaka ujiongezee umnunulie vocha wanawake nyie mungu anawaona
  17. marko maluli

    Huyu Mwanafunzi kapatia au Kakosea na Mwalimu wake alistahili Kumuadhibu?

    Tatizo uulizaji maswali Ni kosa mojawapo ndo maana watoto wanajibu vile walivyo elewa
  18. marko maluli

    Uzuri wa sura uendane na usafi wa mwili

    Diterbitkan March 07, 2018 TAGS Na MARKO MALULI Imepakiwa-wednesday march 07-2018 at 20:02 PM Habarini ndugu wasomaji wa makala hii ,leo naenda kuzungumzia wale marafiki zangu ambao muonekano wao wa nje ukiwaona ni nadhifu lakini ukiangalia ndani KAHARUFU (SMELL) KANAPENYEZA Nywele...
Back
Top Bottom