Habarini wana Jamiiforums,
Nina ndugu yangu kasomea diploma ya Uongozi wa Elimu lakini anataka akasome degree. Nauliza: Je, akasomee kozi gani yenye soko?
Sent using Jamii Forums mobile app
StarTimes Tanzania, Mimi Nina tatizo kuhusiana na huduma zenu natumia king'amuzi Cha star times lakin Kuna baadhi ya channel zimefutika kabisa hazionekani mfn: St swahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado nakukanusha kwa point zako za kitoto hapo hujaongea la maana hata kidogo unapo sema mkaguzi ujue amepitia mafunzo kwahyo anautofauti mkubwa na wew ulie somea degree ya elimu .....tufike wakati tukubali matokeo
Ndugu yangu tambua kuwa mtu aliye Anza na ngazi ya cheti na baadae akapiga diploma anakuwa na uwezo mkubwa kuliko yule Alie enda Moja kwa moja degree fuatilia Hilo harafu utaniambia
Napenda kuuliza katika NMB Kuna kitu kinaitwa SARALY ADVICE lakin mim Nina apps ya NMB CLICK kila nikijaribu kutaka kuchukua saraly advice wanasema your transaction is not complete tembelea tawi lolote la nmb ukiwa na passport kwann Sasa wakati wengine wanachukua kirahisi msaada hapo
Diterbitkan March 07, 2018
TAGS
Na MARKO MALULI
Imepakiwa-wednesday march 07-2018 at 20:02 PM
Habarini ndugu wasomaji wa makala hii ,leo naenda kuzungumzia wale marafiki zangu ambao muonekano wao wa nje ukiwaona ni nadhifu lakini ukiangalia ndani KAHARUFU (SMELL) KANAPENYEZA
Nywele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.