Bila tume huru ya uchaguzi hakuna kupiga kura wala hakuna haja ya kuanza mchakato wa uchaguzi,tayari tunamkoloni mweusi,huyu ameshajihakikishia ushindi,na hataki kubughudhiwa,Kwa vitendo vinavyofanywa na wanaccm,hakuna haja ya kushiriki huo uchaguzi Kwa tume hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani kama hali ipo hivyo hakuna sababu ya kushiriki huo uchaguzi kama vipi tudai kwanza tume huru ndipo tuingie kwenye uchaguzi,tujue tunamkoloni mweusi ccm atatusababishia machafuko
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujitambui,bunge ndiyo wanawakilisha wananchi,bunge lilijadili lini matumizi ya fedha za matibabu na kutuma ndege kubeba box 11,NDIYO maana watanzania yunadharaulika sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndiyo maana tunasema ukishakuwa na akili za kiccm unakuwa kama chizi au zuzu hivi, uliwahi kumsikia Mbowe akipanga njama zozote za kuwadhuru wanachama wake? Acha akili ijiamulie la kusema siyo tumbo
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka kila Mtanzania wa leo ambaye anampenzi mema na nchi yetu Tanzania amejiridhisha pasipo shaka kuwa babu zetu na wazee wetu walifanikiwa kupambana na utawala wa mzungu ambaye tulimuita mkoloni Kwa sababu ya matendo yake kwa waafrika,
Ukitazama malengo ya kumtoa mkoloni yaklikuwa ni...
Unapoandika kana kwamba upo chooni unajiaibisha,ulitamani CHADEMA watekeleze ujinga wa ccm,hebu tuambie mlimpa simon group uda na akakopa kupiti a Mali za uda hilo deni ni LA uda au simon group,mbona ccm mnaendekeza njaa,maufuli amekopa Kwa siri mkopo wa kibiashara,unataka kutuambia mwenyeakili...
Hii nchi imelogwa au kuna mtu tumemdhulumu hivyo analalamika,Hakuna mwaka tunatoka hapa tulipokwama,tumeleta makocha karibia nchi zote,kuanzia Brazil mpaka Denmark lakini wapi,nchi imelaaniwa hii
Hivi inakuwaje watu wanapanga mipango ya utekaji na hadi inafanikiwa,wanamchukua mtu na kumpeleka kusikojulikana na usalama wapo tu,au wapo kwa ajili ya usalama wa chama cha mapinduzi kama polisi
Acheni kufanya kazi za kina marehemu shekhe yahaya Hussein,vijana wa kitanzania ni wapuuzi sana,hivi unakaaje unafurahia mbinu za kipuuzi za ccm za kuwahonga wapinzani vyeo ili kuendelea kukaa madarakani,kijana huna ajira,wala biashara,huna nyumba wala kiwanja,kila Sikh unamtegemea shemeji ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.