Lets be honest,ni watanzania wangapi hawana kadi za chama?
na wangapi hawajishughulishi na mchakato wa iasa(vyama)?
tukishajua hayo mawili ndio tupime kwa CCM kupata kadi Za CDM inawasaidia nini?
kwani isije ukawa ikawa unavua samaki kwenye beseni badala ya bahari...fikirini,fuatilia kwa...
Walianza na ukabila haukulipa wakaja na ukanda haukulipa, wakaleta singo ya udini inachuja, ikaja uhaini na sasa pamoja na kushinda eti kwa kishindo wamevunja secraterieti yao wenyewe jiulize mwanakijiji, kweli walishinda? na kama walidangaya je kwa nini tuyaaamini maadai hayo yote juu CDM?
More...
ni huyu huyu JK aliyeomba viongozi wadini waombeee mvua.... hiyo yote inaonyesha ni mtu wa short plans not long plans....kanyaga twende staili ....aangalie asije akafanya taifa lisilotoa mawazo mbadala .... tunaenda wapi? na kwa faida ya nani?
Isifikie mahali kila hoja hata kama ina maslahi ya kitaifa tuanze kuangalia mtoa hoja ni dini gani!
Je shida ni kuwa rais ni mwislamu!je angekuwa mpagani hapo ndipo tungeamua kuwa kitu kimoja kulinda taifa letu?
Watanzania tusibishane kwa kuangalia nani katoa mbiu ya mwizi badala ya kumkimbiza...
Sijui kutawaliwa sana na wakoloni kumetufanya kutozingatia kukusanya jamii na kuwa kitu kimoja na badala yake kuzingatia kutawanya watu kutokana na misingi ya itikadi , jinsia,kabila,koo,rangi,na hasa dini.
Imekuwa ikifumbiwa macho na watawala kwa muda mrefu mambo haya yakiwagawa watu mfano...
ujue hapa kuna vitu viwili mmoja antumia uwezo wake wa kutoa hoja na sera ambazo watu ndizo (wananchi) wanazifuata na mwingine anatumia umarufu wa msanii kuita mwananchi ......
Sasa jiulize hivi leo umarufu wa raisi umeshuka mpaka ukamuhitaji msanii kama diamond ambae seriously ametoa albamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.