Huo mfano wako sio sahihi,hii ndege ni ya biashara,serikali inawekeza pesa kufanya biashara ili ipate pesa zaidi za kukujengea barabara,kuboresha mishahara ya walimu,huduma za afya etc
Usiongee usiyoyajua,matangazo yanasikika,abiria wanajaa(labda kama hufuatilii kujua),muache rais aongeze ndege tutanue shirika,wewe ndio unayetaka tubaki pale tulipo ili uweze kusema OOh hata Rwanda wanatuzidi,zama zimebadilika
Serikali inanunua ndege ili ifanye biashara ipate pesa za kujenga barabara,kuboresha maslahi ya walimu ,kuboresha huduma za afya na kuweka mazingira rafiki kimaendeleo,kutafuta pesa na kuwa na uwezo wa kupanda ndege ni jukumu lako baada ya serikali kukujengea mazingira.
Huwezi fix system kwa mwezi mmoja,especially system iliyojengwa for 50 years,so kipindi hiki ambacho system mpya itakuwa inajengwa,wacha njia za muda mfupi zenge kuleta results zitumike.Theory ya hili ni sawa na theory ya uchumi tu,kukiwa na mdororo wa kiunchumi Solution ni kujenga msingi imara...
Mtazamo Wangu,
1.Ukiweka ushabiki wa kivyama pembeni Prof.Lipumba ni Hazina kwa taifa hili.
2.Kwa muda mfupi nimegundua JPM sio mwanasiasa hana Blah Blah na inaonekana ana nia ya dhati ya kutupeleka in a Promised Land,hivo akimteua Lipumba naamini kuna kitu amekiona anataka kishughulikiwe
Mkuu,
1.IN RED
-Sio kweli kwamba mara nyingi amekuwa na maoni chanya juu ya CCM Mkuu usipotoshe umma,Lipumba has spent years criticising CCM
-Hakukuwa na Ubaya kujiuzulu kwa kukataa kuwa pamoja na Lowasa koz aliamini ni Fisadi na ametumia muda mwingi kuwaaminisha watu hivo
2.Weka Taifa mbele...
Kabisa unamaanisha unachokiongea? Anyway
1.Ulikuwa unajua kuna makontena 300 yamepotea,najua hujui hadi PM alipotimba bandari
2.Najua ulishakariri makontena yaliyopotea bandari ni 300,yet again PM akarudi akagundua mengine 2000 yamepotea,ulilijua hili
3.Swali la msingi kwa nini upotevu huu...
Mkuu Pasco,
Hakuna Maendeleo yanayokuja bila gharama,tujiandae:
1.Hayo unayoyasema yote Kikwete ameyafanya na matokeo yake tumefikia hapa tulipo,usiwe mwepesi kusahau
2.Ingekuwa Nchini China baada ya Ndugu Bade kutoa taarifa zisizo sahihi cha kufuata ilikuwa ni kumchukua na kwenda kutandika...
Mkuu Amka,
Nafikiri umeona jinsi ambavyo tumeistukia CCM kwamba walikuwa wakituburuza miaka yooote hiyo kwa kuwa tu watu walikuwa wamelala hawajui chochote,sasa hivi watu wamesoma,wafuatiliaji wa mambo na Bbongo zinachemka haswa ona ccm inavyoumbuka hadi wanaamua kutumia mbinu chafu wazi wazi...
Kiukweli tunahitaji watu wa aina hii ku-debate siasa Zetu, hawa maprof wawili wamenifurahisha leo,wanajadili issues kwa facts,hakuna mihemko ya kisiasa kutokana na itikadi ya kila mmoja, wanapeana space kila mmoja kumsikiliza mwenzie hawabishani, no personal attacks, sometimes they lough with...
Mkuu unaishi Dunia gani?? siasa haiko hivo
Zitto atamsema Lowassa wakati wowote pale inapobidi iwe kwa heri ama kwa shari
Maelezo yako naona yanaendeshwa na emotions tu kitu ambacho kitakutoa nje ya Mstari
Utaratibu wa siasa ni hivi:
1.Kila chama kina misingi yake inayoisimamia
2.Ikfika wakati...
Mkuu waweza kuwa sahihi kabisa,ila next time akumbuke tunaotakiwa kujua ni sisi audience ndio wapigakura asikazane kutaka HP ajue uchungu wa kushutumiwa bila ushahidi bali sisi ndio tuwe center of attention
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.