Kwa namna hii kiswahili kuandika ni shida,je ile lugha iliyofika kwa meli utaweza kuandika kwa usahihi?harafu mkifeli Interview mnasema kuna watu wamewapanga
Mi binafs kwenye post ya Assistant Accountant siyaamini majibu yangu kabisa
Pepa maswali yote nayajua hakuna hata nisichokijua tena n kwa usahihi
Swali moja tu la Kwanzaa kipengele kimoja ndo nimekosa ila mengine yote nimeyajibu na nikaja kuangalia kwenye vitabu majibu n yale yale hakuna hata...
Nina rafiki yangu ana D tatu alianza certificate chuo kinaitwa Seki kiko Dodoma had Diploma akamaliza apo mwisho wa siku aliomba kujiunga na shahada Taasisi ya Uhasibu Tanzania na akadailiwa leo hii kamaliza kwenye Taasisi iyo na ana shahada yake ya Usimamizi wa biashara (BBA) kutoka chuo na...
Wanajamvi mwenye updates yoyote ya oral kwa waliofanya post ya tax Leo naomba watupe ABC wamebase sehemu gan n professional au report za Ossoro na Mruma tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.