Hao watu kwanini wasitusaidie kuangusha minara ya simu[emoji23]. Maana siyo kwa utapeli huu na wizi wanaotufanyia.
Siyo voda, tigo, airtel, halotel wote wanajichukulia tu pesa zetu.
Na nyinyi wenyewe acheni kuibia watu, nguzo zinatoka hapo mafinga zinauzwa kwa bei yote hiyo?
Na bado zikinunuliwa zinabaki kuwa Mali ya Shirika?!
Bila rushwa kuunganishiwa umeme ni muujiza! Acha na nyinyi muhujumiwe mjue uchungu wake.
Mwanzo 6:2
"wana wa Mungu wakawaona kuwa hao binti za wanadamu walikuwa wazuri wa sura, wakaoa yeyote miongoni mwao waliyemchagua."
Wana wa Mungu = Malaika(Hao waasi)
Ni bora wasiseme no wakiwa single,,lakini upo na mwanaume ndani..jamii yote inajuwa huyu ni mke wa fulani..mnapika mnapakua. Then unatongozwa unadanganya hujaolewa?!
Nilitaka kwenda kwenye upadre 10Years ago baada ya kutoka chuo kikuu.
Hata hivyo maombi yangu hayakujibiwa kwa zaidi ya mwaka mzima.
Leo sijutii kutoenda huko..maana ningekuwa miongoni mwa mapadre wa hovyo ama wangenifukuza kwa kupinga waziwazi tabia mbaya zinazoendelea huko.
Niliwahi kwenye...
Itakuwa hupendi kula wewe! Kama unapenda kula kaulize mimea kwanini inatoa mavuno na kisha yenyewe inachomwa kama mabua n.k
Shabash! Sasa si ufe ili usimyonye mzazi wako kiuchumi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.