Akina dada wanaotembea uchi ni mazuzu tu,hawajui thamani ya miili yao.Hivi hawajiulizi mbona wanaume huwa hawakai uchi?mwingine ukimuuliza atakwambia eti mpenzi wangu anapenda nivae hivi.Huyo ni mpenzi gani anaekutembeza uchi?mbona yeye hatembei uchi?huoni kama unajidhalilisha?Amkeni huo ni...
Jamani kaka jirekebishe,hebu chagua mpenzi mmoja tu.acha kuwafanya wanawake kama sehemu tu ya burudani.ugekuwa wewe mpenzi wako ndo yuko hivyo ungejisikiaje?jambo usilopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzio.
Hongera sana na unayo kila sababu ya kumshukuru mwandani wako.Miaka mi3 ni mingi katika ndoa.MUNGU awasaidie msonge mbele mkitumaini yeye katika kila jambo.
kwa kweli serikali yetu imekithil kwa wizi,huo ni wizi tu.yaani hata haya hawana .utadhani wanaongoza watu wasio na akili.hebu wajilekebishe jamani.wanataka nini kifanyike ndo wajue kuwa watanzania wanaelewa kila kitu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.