Katika kile kinachoonekana muendelezo wa Mawakili kutetea tasnia yao ya Sheria Wakili Lau Kego Masha amemtaka Waziri wa Sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kumshauri Rais vyema kuhusu maswala mazima ya sheria na kuitaka serikali kutoingilia mchakato wa uchaguzi wa Chama Cha Wanasheria...
Polisi imeua raia mmoja wa Kenya Ndugu Paul Njuguna Kaiyehe (Polisi walitumia jina la uongo kuficha uraia wake - George Mwita Waitara).
Huyu ndugu ni raia wa Kenya kwa uthibitisho wa balozi mdogo wa Kenya anayehudumu jijini Arusha Ndugu Mathenge raia huyo wa Kenya aliyeuawa ni Mwanaume umri wa...
Hivi huyu kijana mwenzetu ana usafi gani hata achafuliwe binafsi na kwa wafuatiliaji wenzangu wa siasa ndani ya ccm watatambua ridhiwani kikwete hana usafi wowote hata kuwa katika nafasi ya kuchafuliwa tena ni aibu kwa mtu mzima kama ridhiwani kuendelea kumtegemea mzazi wake namaanisha kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.