Nafikiri hii warning ya serikali ingekuwa kweli hakuna tatizo, Gazeti la Mtanzania angechukuliwa hatua. Ila kwa sababu msemaji katoa viticho bila adhabu yoyote, inaonesha kuwa inajaribu tu kuficha jambo flani.
It's simply a shooting techniques, kuna kitu kinaitwa focus. Na imegawanyika aina mbalimbali, ambapo impact yake ndio hiyo. Ila camera yoyote yenye micro na macro rings ndio inakuwa rahisi.
Dr nina tatizo la kuwashwa baada kutoka kuoga hasa nyakati za mchana au jioni. Nikioga asubuhi sana kuwashwa kunakuwa hakupo. Je tatizo ni nini hasa? Dawa ni nini? Kuwashwa huku hutokea sehemu mbali mbali mwilini kama miguuni, kwenye mapaja, mikono, mgongoni na tumboni. Na hudumu kwa dakika...
Yaani kama haya ndio majibu ya umahili, you will be tabled kukuonyesha kodi ilipoongezeka, kusitisha kwa ajira mpya, tamisemi kupunguza wafanyakazi na kadhalika. Am waiting for Malisa akujibu. It's good shindanisheni hoja, sisi tutajua ipi sawa ipi si sawa....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.