Mhhh! Miaka hiyo ya 90 nikiwa na wazazi wangu wapo hai huko Kilosa Morogoro kulikuwa na choo cha familia cha hivi, binafsi nilikuwa napanda juu yake na kuchuchumaa.
Ukweli vinaleta kinyaa kukaa.
Mmeanza kumdhiaki tena Mungu, bado mjaridhika alipowatwalia jiwe wenu! Makonda na wenzake ni mashetani, Makonda alitaka kumtanguliza T.Lissu yy na washilika wake lakini ALLAH aliepusha hilo ingawa Mh: L, hadi leo tukimuona tunabubujikwa na machozi, Leo hii nami nikimshuhudia Makonda na washirika...
Ni ukweli usiopingika, kuna machache umeyasshau, aliweza kutatua matatizo ya ardhi pia kwa waislam kule Sumbawanga ambayo tangu enzi za Nyerere yalishindikana.
Haya aliyoyasema ni sahihi kabisa, hili tunaliona wananchi lakini je, tufanyaje? Mwambukusi hana chama lakini kiukweli namkubali sana. Hivyo sauti ya huyu mwamba itaeleweka pasipokuwa na chama!?
Muhimu angelivunja huu mkataba na wala c vinginevyo! Huyu Mama nchi hii imemshinda kabisa, ona mafuta yanavyopaa bei na mwanzoni mwa mwezi yanapanda tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.