Hata Messi aliposhiriki kombe la dunia kwa mara ya kwanza 2006 midomo ya watu ilikuwa kwa akina Ronaldinho na Ronaldo De Lima.
Messi ameshajaribiwa na kujidhihirisha kuwa ni bora ndiyo maana anakuwa appreciated. Hao wengine hatujui kama kweli wako njema kivile au wamebahatisha!
Ukraine imelipua daraja lililopo katika barabara namba M-14 huko Melitopol, matokeo yake vikosi vya Urusi vilivyo msitari wa mbele vitakosa supplies, na operesheni ya Urusi huko kusini mwa Ukraine inazidi kuwa ngumu.
Wakati huohuo, Ukraine inakusanya vikosi na vifaa kuanza counter offensive ya...
Uchambuzi huu ulifanywa na ndugu Twahir Kiobya huko clubhouse.
Ameisifu hotuba ile kwa ubora wake, akachambua mbinu mkakati ambazo ndugu Mbowe anatumia katika kufanikisha mazungumzo ya chama chake na CCM na akaonyesha kuwa njia anayotumia Mbowe ni njia sahihi zaidi kwenda nayo badala ya kususa...
Wananchi wa Dar es salaam tumechoka na migao ya maji
Ndugu Waziri na Ndugu Mkurugenzi wa DAWASA
Mimi ni mkazi wa Dar es salaam, maeneo ya Mlalakuwa.
Napenda nikutaarifu kuwa, sasa katika maeneo yetu na mengine ya Jiji la Dar es salaam kumekuwepo na hali mbaya sana ya upatikanaji wa maji ya...
Kubusiana siyo siyo sawa na kushare glass moja watu msiofahamiana. Huo utamaduni haujawahi kufanywa na rais yeyote Tangu mwalimu, sisi tumeliona jambo hili sasa!
Kama hili jambo ni la kawaida naomba incident yoyote katika dhifa ya viongozi inayofanana na hii.
Asingewza kubadilishiwa glasi halafu ishu ikabaki hivihivi. Ingeonekana labda alikuwa na nia ya kumdhuru rais wa Msumbiji.
Hajabadili glasi bali alienda kugonga cheers!
Yaani Putin kwa ujinga wake anadhani eti akishafanya referendum na asilimia 100 ya kura zikasema kuwa wanataka kujiunga urusi eti basi hiyo itafanya Ukraine iache struggle za kuikomboa hiyo miji!
Sanasana Urusi itafukuzwa kwenye UN na automatically itapoteza kiti katika UN. Figisu hizo za...
Kabadilishiwa glasi wapi wakati kaenda kugonga cheers akarudi.
Unadhani kidiplomasia ingemkalia sawa yaani ampe rais wa Msumbiji kinywaji halafu yeye akibadilishe hicho kinywaji?, si wangesema alikuwa na nia mbaya na rais wa Msumbiji?
What if Rais wa Msumbiji ana ugonjwa wa ini (Hepatitis B)?
What if Rais wa Msumbiji akaanza kuumwa let say wabaya wake wakamtenda vibaya huko msumbiji, si itaonekana sisi ndo tumemtenda?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.