Enyi watu walipeni taifa stars stahiki zao,dola 75 ni ndogo ukilinganisha na wanalokwenda kulifanya ni La taifa kwa Ujumla yani Nchi ndio inangaliwa pale inaonyesha NINI na ina nini kwenye mpira wa miguu.Nasema hili kwa kipimo kimoja tu kuna watu wanaenda semina njee kwa mambo ambayo hayaleweki...
Enyi watu walipeni taifa stars stahiki zao,dola 75 ni ndogo ukilinganisha na wanalokwenda kulifanya ni La taifa kwa Ujumla yani Nchi ndio inangaliwa pale inaonyesha NINI na ina nini kwenye mpira wa miguu.Nasema hili kwa kipimo kimoja tu kuna watu wanaenda semina njee kwa mambo ambayo hayaleweki...
Ubahili na uhusisha na utunzaji fedha yani saving.Uwez kufanikiwa kutokea chini kama hutakua mbahili yani hutakua unasave na unachokisave una ki re invest...that is the principle Saving=Investment.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.