Habari!
Mi ni kijana mwenye mke na mtoto mmoja, nina mpz nje ya ndoa yangu ambaye anakaa kwao. nimekuwa na uhusiano nae kwa kipindi cha zaidi ya miaka miwili sasa; sijawahi kwenda nae kupima licha ya yeye kudai mara ya mwisho alipima mwaka 2007 na alikuwa safi lakini mimi huwa napima mara kwa...
Wana JF mimi ni baba wa mtoto mmoja ambae anamiezi minne sasa
na jirani yangu pia anamtoto ambae umri wake unapishana na wangu kwa siku tatu lakini jirani yangu alianza kumnywesha mtoto uji wakati anaumri wa miezi miwili.
mtoto wangu sasa hivi nahisi kama ananjaa sana kwani mara nyingi hunyonya...
Kwa muda mrefu sasa nakula chakula kidogo sana matokeo yake sinenepi, kama unanijua uwezi kunitofausha wakati nipo shule na sasa ninavyofanya kazi naomba kusaidiwa mawazo.
Lengo la mafisadi awe spika ili azuie mijadala ya kifisadi,
Wakicheki watu wanaoingia mjengoni wanajiandaa kuwazuia.
Chenge kwanza ni Mtuhumiwa wa mauaji.
Ni bora ukae kimya tumekuchoka umeshaiba vya kutosha,
ndio zenu hata kuhusu Richmond, EPA mlikataa na mkabisha lakini ukweli ukajulikana.
Taarifa kama hizo wape Wamasai wenzako wa uko Monduli ndio wanaweza kukuelewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.