Kazi; kutafuta wateja na kutangaza tiba ya meno , haswa mtandaoni.
Sehemu ya kazi: Korogwe Tanga
Mshahara: 200000/= , na commission za mauzo ya kila siku
Elimu: awe na elimu ya chuo kikuu , haswa
Usimamizi wa biashara , na network marketing au zaidi.
Jinsia: msichana
Dini;: yeyote
Uwezo wa...
1. Mabasi yanajaa
2. Wamewekewa hadi treni nayo inajaa
3. Ndege ndo kabisa
4. Njiani foleni kama yote
5. Makosta na Rosa na mabasi madogo nazo kwa msafara, zikipeleka hawa watu kwao
Sasa swali langu, huwa unapata hisia gani ukiona hayo maandano ya wachaga wakikazana kwenda kwao kwa nguvu hivyo...
Sisi ni taifa changa sana bila shaka,
Hatutaweza kumudu mtikisiko utakao tokanana na majanga ya huu ugonjwa, mfano kusimamisha kazi kama wenzetu walivyofanya.
Sasa kwanini serikali isipitishe sheria ya dharura ya kuvaa maski nchi nzima , usipo vaa jela miezi 6 au faini milioni kadhaa.
Hii iwe...
Binafsi nimeona bidhaa zinazotoka china zimepanda bei, wauzaji wakisingizia, au labda ni kweli kwamba viwanda vimefungwa, hivyo wanauza stock wakiwa hawajui mwisho wa tatizo , kuna watu watatajirika kutokana na huu ugonjwa.
Wadau
Ni nini kingine unakiona kama fursa kutokana na na huu ugojwa...
Ni swali, naomba kueleweshwa. Huyu mchana Kurani, mlevi, akiwa nje ya kazi, akiwa amelewa, amebishana kijiweni, akachana, huku akiwa anayumba yumba kwa ulevi, na baada ya kuchana hakuna madhara hatarishi ya kiusalama yaliyotokea.
Ghafla kasimamishwa kazi kwa kuchana Kurani. Waziri amefanya sawa...
Naomba mtu aniunganishe na mtu mwenye jambo lolote, linaloweza kuvutia watu na kuwakusanya nikatangaza biashara yangu.
Sarakasi
Ngongoti .
N.k
Malipo maelewano.
Please njoo pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni uzi maalumu wa kurushia walau neno na picha za sehemu mbalimbali nchini kuonyesha uhalisia wa tatizo / foleni kubwa ya kupata vitambulisho ili kusajili laini, kuna watu wanaumia wanaona imekuwa kama adhabu, maana watawala wanasema zinafungwa , foleni nayo imesimamia kucha.
Mawazo yangu...
Kwa mtazamo wangu hawa watu wanaitaji msaada .
Hawa jamaa ni watu waliotawaliwa kwa muda mrefu na wazungu,
Hivyo walikuta barabara za wazungu hawajawahi fanya biashara au kazi wakakatwa kodi zikajenga barabara mashule , hospital n.k ,
Mataasisi mengi nchini mwao walijenga wakoloni...
Moshi wazee wanakaribia kuzeeka na kufariki.
Hiyo Generation inapita hatimaye.
Nyumba nyingine tayari zimeanza kuishi wafanyakazi,
rombo,machane,marangu,kobosho, moshi yote kwa jumla, wazee washaondoka, au wapo mbioni kwenda.
Sasa hawa wafanyakazi wapo wakitunza kahawa, ng'ombe n.k, hii ni...
Leo tarehe 10. 06.2019 nimesikia kifo cha kijana aliyekuwa anafanya kazi kiwanda cha tambi huko Mbagala, kafa kwa kupigwa shoti.
nimewahi pia kushuudia kijana kwenye kiwanda cha chakula cha kuku huko kitunda R.I.P na wengine wengi
Wanaouliwaga na umeme.
Hivi taadhari zinatolewa kweli? Maana...
Bei nimeweka kwa jedwali hapo chini
Wasiliana nasi 0625868296
Pia tunauza jumla
1. glass za kawaida jumla 700
2. Glass za 3D 3000
3. Makava ya autofocas 1500
4. Chaja 3000
5. Earphone 2500
6. Makava ya urembo 3000
7. Usb 1500 n.k
Tupo Tanga
Tunaweza kutumia popote Tanzania
Kwanza kabisa natoa pole kwa wote , R.I .P. Mzee wetu mpedwa.
Kama mjuavyo mzee was public figure so kujadili undani wake sii neno sana ili tujifunze kitu.
Kwa deaturi zetu, kwa mzee wa umri wa mzee wetu marehemu alipaswa kuwa na wajukuu kadhaa ambao sijawasikia,
Nani amewasikia?
Nimewaza au...
Nimekuwa nikiona kwa miaka kadhaa, Mawingu ya mvua vikianzaga tu, vichaa nao huchomoza wa zamani hawatulii ndani, na wengine wapya hujitokeza wakizurura, bila shaka hukimbia makwao na kwenda sehemu kutenda na kusema maneno mbalimbali ya ukichaa wao.
Mahusiano yamekaaje kwa anayejua atujuze...
Aisee ile mwanzomwanzo wakati biko tuu na tatu mzuka vinavuma zaidi nilicheza kama 100000/= hivi .
Nikajaacha kabisa,
naona
Asubuhi
Saa sita mchana
Jioni
Saa 2 usiku
Saa sita usiku
Aisee ni jumbe mbilimbili za kuniimiza nicheze
Tena sijui wanaambiana maana hata yale makampuni ambao sikucheza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.