Assalam alayqum !!
Eid Mubaraq kwa wana Jamii Forums wote hasa hasa waislam, tumefunga vizuri kwa amani, wale waliopata matatizo, Allah atawaaf inshallah mambo yatarudi mahala pake.
Msisahau zaqatul fitr jaman kuinyanyua saum yako kwa wale watakaojaaliwa
Half american
Mtoto halali na hela...
Nawasalimia
Kuna jambo leo limeniumiza mno moyo na kichwa changu kwa mawazo
Kisa kipo hivi
Leo kwetu huku ni mvua tangu jana usiku, kulipokucha nilimwandaa mwanangu kwenda shule, sio mbali na eneo tunaloishi. Baada ya kuona muda unaenda mtoto harudi ndio nikakumbuka mvua imesababisha...
Habari wanabodi,
Naomba kufahamishwa au kujuzwa je, nikitaka kuonana na mama Samia yani face to face nifanyeje? Wazo hili limenijia kwa mfano unataka kuongea naye je, unamngoja akiwa kwenye msafara unamuomba? Unamngoja afike ikulu ndogo mkoa anaotembelea unamfata?
Akiwa safarini unampigia...
Heri ya mwaka mpya!!
Odo Ummy wakati unatembelea hospital huko Dar bas huku tanga hospital ya mkoa, hospitali ya Bombo ni jipu.
Nieleze kisa kifupi, mwezi ulioisha tulikua na mgonjwa, ni mama mjamzito uzuri alijifungua kwa uzur kabisa shida inakuja hio bill,
Wanabambikia watu mnoo yani...
Habari za wakati huu,
Naombeni kujuzwa hii hua ina maana gani, yani ninakua namfikiria mtu ambae sjamuona muda mrefu mno ajabu nikikutana na mtu ninaejua anajua alipo nikimuulizia tu jibu no moja AMEFARIKI
Mara ya kwanza kunitokea, kuna classmates wenzangu nilikua nikielewana nao mno, sasa...
Habari za muda huu,
Jamani ninaomba kuuliza, tulifanya process za kuomba umeme tangu mwezi wa saba mwaka huu, na tuliwatumia wakandarasi wa hapo hapo tanesco kutujazia na kutuchorea na kurudisha form tanesco Tanga Mjini.
Sasa siku hiyo hiyo alikuja mtu wa kufanya survey na akapima pima pale na...
Habari za muda huu wanasheria,
Niende moja kwa moja kwenye mada, niko na mdogo wangu hapa tunahitaj kujuzwa kutokana na kisa chenyewe kilivyo, kiko hivi
Mwaka 2012 alimaliza masomo kwenye moja ya vyuo hapa Jijini Tanga, katika utafutaji wa ajira akabahatisha ofisi moja ya Kiserikali akaomba...
; NILIPOMUAMSHA SHETANI WA MUME WANGU--- SEHEMU YA KWANZA.
“Kwahiyo ndiyo unanirudia saa nne? Unajiona mw3anaume sana na hao rafiki zako ambao kila siku wanakudanganya? Wenzako hawajaoa lakini kila siku ni kuhangaika nao, unazunguka nao kama vile hujaoa, saa nne mimi nikufungulie mpango?”...
Assalam alayqum,
Jamani ni matumaini yangu mko salama. Naombeni kujuzwa/ kufahamishwa namna ya kuandaa mbegu za maboga zichanganywe kwenye uji wa mzazi. Nazifanyaje baada ya kuziosha?
Je, nazianika nizikaange kidogo ndipo nisage unga wake nichanganyie kwenye uji au nizioshe nianike nikasage...
MKASA WA KWELI
NILIMUOA JINI PASINA KUJUA
NA ZUBERI MARUMA
Whatsupp no 0759527654
No 01
Mungu muumba,aliumba majini na binadamu hili wa muabudu,katika uumbaji wa majini kuna majini wema wanao mtwihi Mungu na pia wapo majini waovu ambao pia uenda kinyume na maagizo ya Mungu,pia Katika...
MKASA WA KWELI
KAONDOKA NA MOYO WANGU
MWANDISHI; ZUBERI MARUMA
WHATSUPP 0759427653
Sehemu ya kwanza
UTANGULIZI
Ni mwanamke nilompenda toka ndani ya mvungu wa moyo wangu,
Nikayabeba matatizo yake na kuyafanya yangu,
Sikutegemea kama angekuja kuondoka na moyo Wangu,
Siku mbili kabla Mimi...
MKASA WA KWELI
KAZI YA KULINDA MAITI MOCHWARI ILIVYONISHINDA
MWANDISHI: ZUBERI MARUMA
Whatsupp: 0759427653
i
Jina langu naitwa Joseph Matombeko ,mzaliwa wa Nairobi nchini Kenya naishi na familia Mke na watoto wa tatu,ni mfatiliaji mzuri tu wa stori zako,nikaona nikutafute nami nikupe mkasa...
NYEMO CHILONGANI.
UTAJIRI WENYE UCHUNGU.
Sehemu ya Kwanza.
“All people who live at the beach have to leave immediately because tsunami will come. Once you hear this announcement, tell your colleague,” (Watu wote mnaoishi katika ufukwe mnatakiwa muondoke haraka iwezekanavyo kwa sababu tsunami...
NYEMO CHILONGANI.
SHAMBULIO LA DAMU
0718069269.
Sehemu ya kwanza.
Dunia nzima ilikuwa kimya kwa muda, hakukuwa na mtu aliyeamini kile kilichokuwa kimetokea. Waliokuwa mbali na televisheni, wakazisogelea, waliokuwa na simu zilizokuwa na uwezo wa kuingia kwenye huduma za internet, walifanya...
MKASA WA KWELI
KILICHONIKUTA IYOLE SITOKAHA NISAHAU
MWANDISHI: ZUBERI MARUMA
Whatsupp: 0759427653
01
"Jina langu kamili ni Samson Ezekiel ila wengi upenda kunihita Sir Ezikiel, tahaluma yake ni ualimu,
Bado sijaoa na wala sijabahatika kuwa na mtoto miaka yangu ni 28
Baada ya kumaliza...
Assalam alayqum, ni matumaini yangu mu wazima alhamdulillah
Jamani madokta wa jukwaa hili ninaomba msaada ni wakati gani mama au msichana akishajigundua yu mjamzito yafaa kwenda clinic? Kuna mtu ananambia niende mimba ikifika miezi sita mume anambia kesho asubuh inshallah niamkie huko lakini...
Habari za muda huu wanabodi
Naomba kufahamishwa gharama (ijumuishe mtaji, vifaranga, chakula na dawa) za kufuga kuku hawa kwa kuanzia na kuku mia natakiwa kuandaa kias gani
Nimejaribu kusoma threads mbali mbali japo sijazimaliza sjapata iliyoainisha ni mtaji au gharama kias gani natakiwa...
PENZI LENYE MAUMIVU-01
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278
Katika maisha yangu yote ya ndoa sikuwa ni miongoni kati ya wale wanaume waliyotulia. Licha ya kuwa mke wangu, Lillian alinionyesha mapenzi ya dhati, alinijali pamoja na kunithamini lakini hilo sikuonekana kujali, isipokuwa nilikuwa bize...
RIWAYA: KONSTEBO NGUZU
NA: George Iron Mosenya
"Nimekosa magoli zaidi ya 9000 katika maisha yangu, nimepoteza mechi zaidi ya 300 katika maisha yangu, niliaminiwa mara 26 kuwa nitaipatia timu yangu ushindi lakini nikashindwa. Nilishindwa tena na tena na tena katika maisha yangu NDIO MAANA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.