Pamoja na hayo yaliyotokea ni kwamba katika masuala ya afya ya akili inawezekana Marehemu alikuwa na SEX ADDICTION, ambayo ni maradhi na yanatibika so alihitaji huduma ya ushauri nasaha na fasaha jinsi ya kukabiliana na issue hiyo na si kumpiga na mwisho wake ndo huo MAUTI...RIP KIJANA
Inaweza ikiwa ni vigumu kwa wewe kukubali kuwa umekuwa na utegemezi wa uvutaji wa sigara (addict) kutokana na sumu ya nicotine iliyomo ndani ya tumbaku ambayo husababisha UTEGEMEZI (ADDICTION) Njia ya kukusaidia kuacha ipo unaweza kuwasilinana Narcotics Anonymous (N.A) ambao ni ushirika wa...
Huko sahihi kabisa kuna programe nayoitumia kwa masaa 24 ili niweze kukabiliana na ADDICTION niliyonayo so kila asubuhi lazima uanze na MEDITATION AND PRAYER
Kagasheki Msamehe manake kesha ona ngoma nzito ndo maana hata kale kaji-FM kanakufa taratibu keshaona maji ya shingo...Lwakatare anamnyima usingizi, katika ilani yake ya 2010 aliahidi kutoboa uwanja wa ndege wa Bukoba Mjini kwa chini (tunnel) ili wananchi wasipate adha ya kuzunguka uwanja wa...
Huyu jamaa anapelekwa pelekwa na MA-CCM ili angalau mpaka wakati wa uchaguzi angalau umeme upatikane wakati ki-uhalisia haiwezekani. Isije kuwagharimu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.