Wewe ni Kiazi, mshara umechelewa 10 days unapiga kelele mtandaoni. Kaulize polisi, walimu, TRL wakupe uzoefu wao.
Huyu ni mzawa anapigana sana ss kuchelewa few days mnaanza andika umavi wenu, nini zaidi ya wivu? I hope angekupata
akulipe hata mshara wa mpaka June kisha akuonyeshe mlango wa...
Membe haitaji Kuwa ktk tenda board, inajulikana nchi yetu ki-memo kinamaliza yote. Membe ni moja ya jamii ya panya. Hatuitaji ushahidi kwani ndivyo wanavyofanya wakijua hakuna material evidence ya kuwatia hatiani, but just common sense he did I it.
Katika hili hakuna cha cdm, ccm, cuf au viwavi wengine, wote tulikatae na kila chama chenye uwakilishi bungeni kitoe tamko la msimamo wake juu ya huu ufisadi wa mchana kweupe. Hii inaonyesha jinsi wanasiasa wanatuona watz mazuzu. Aanze nape, mnyika, matatiro tunataka kujua vyama vyenu...
im speechless.....Hii ndiyo sababu haswa tunahitaji Katiba mpya ambayo itahitaji Bunge li-approve uteuzi
wa viongozi wa juu kama hawa. Ukiangalia CV ya Saada(Fedha) na huyu Mhagama ni kama utani lakini
ndio hivyo tena. I dont know what they are thinking.
Wewe ni shabiki mbuzi. 1. Jaribu kutofautisha "R" na "L". 2. Hapa hatuongelei CDM tunaongelea waziri wa fedha mwenye dhamana kubwa katika maamuzi ya uchumi wetu. Elimu yake imepinda lakini ww unamweka sahani moja na Sugu. Katika wabunge 200+ wa ccm huyu ndie most suitable?? JK aliambiwa Mulugo...
Wewe kweli una akili finyu January ana uwezo gani wa kuwa raisi au ni hizo kelele anapiga hapo Bumbuli zinakutia nyege?
Bumbuli kwenyewe amepita kwa kulazimisha, walimfanyia unafiki mzee wa watu kumpa makamba. Bungeni zaidi ya kuwa kama bendera hakuna la zaidi analofanya zaidi ya kufuata upepo...
Wewe unashabikia upuuuuzii, ukifuatilia Mambo ya ndoa Mkuu wako wa nchi mwenyewe utamgusa tena sanaaaa. Kwahiyo unataka ajiuzulu? vikaza ndoa(nyumba ndogo) ni vitu vya kawaida acha kujifanya SAINT. Siasa ni siasa, zzk anaona kafumaniwa kwenye unafiki na usaliti anaibua mambo ya ndoa za watu...
nguvu ya zito ulyoiona wewe ni ipi,? wewe ni moja ya washamba katika siasa, uko kwa ajili ya watu/mtu badala ya kufuata sera za chama husika. use your head to think not ma------. hata mahakama itoe uamuzi gani tunachojua huyu mnafiki sio MEMBER WA M4C TENA! kama ni ngumu sana kuamini jitundike.
Mfa maji haachi kutapa tapa, zitto kushnei.
Kashfa ya kupewa magari, hajaikubaliwa wala kuikataa, badala yake anajufanya kutoa the same. Mbowe ameshakanusha, yeye? awe mstaarabu kama Wenzake wamekubali makosa na adhabu yeye anajifanya Mungu mtu.? Zito anaonyesha utovu wa nidhamu na lack of...
Chadema wanapaswa kupongezwa kwa ujasiri walioufanya. sio siri kinachozuia kunyofolewa Zitto ni court order kwani makosa yake ni mazito kuliko hata akina Mkumbo ukizingatia dhamana aliyokuwa amepewa na WanaChadema. VIVA CHADEMA
Wewe unafuatilia hii issue kwa kutumia ma------ nini? CHADEMA hawajakimbilia mahakamani, aliyekimbilia huko ni M-ccm Zitto, ameagizwa na ma-boss wake jinsi ya kuzuga apate upendeleo wa ku-hang around ili awape mkono kwenye bunge la Katiba.
Zitto ni Mnafiki, na anajua hata NCCR hawamtamani kwani...
"PIGA UA-PINDA PROJECT" Unaetegemea waliompiga risasi Ponda washtakiwe utasubiri mpaka ufe. Kamati iliyoundwa haina cha kufanya kwani maafande walikuwa wanatekeleza amri ya boss Pinda "PIGA". Ukweli Ponda simpendi kabiiiisa ILA walichomfanyia ni UNYAMA. Ikitokea siku hata mimi Ba Riz and...
wewe kama huna comment weka mikono kwenye ma------ yako, sio kundika pumba, usione sifa kuitaja CHADEMa kwenye issue kama hii wakati unaju sio siasa. Kimtazamo tu inaelekea una uwezo mdogo sana wa kufikiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.