Wanabodi na wajasiriamali husika na kichwa hapo juu.
Hii ni tractor aina ya MASSEY FERGUSON.
inauzwa na jembe lake kabisa.
Lipo Dsm, ila biashara inafanyika ukiwa popote.
Bei ni Milioni 23(negotiable).
Kwa maelezo zaidi na ukitaka kuliona au kutumiwa picha zaidi nicheki kwenye namba hii...
Habari wadau.
Hili ni tractor aina ya Massey Ferguson
Horsepower 255.
Tunakupatia na jembe lake bure ukinunua tractor.
Lipo maeneo ya Bunju. Japo biashara itamuhusisha mtu aliyepo popote.
Kwa mawasiliano zaidi
Piga namba hizi: +255712138156
Habari zenu wanabodi,
Natumai weekend inakwenda vizuri popote pale mlipo.
Binafsi nikikumbuka swala la katiba mpya moyo wangu unafadhaika sana.
Nakumbuka jinsi tume ya kukusanya maoni ilivyoendesha mchakato ule kwa usahihi na uamimifu mkubwa na wananchi wa kawaida tulipata nafasi ya kutoa...
Salaam wakuu.
Mpaka sasa tumekaa very attentive kusikiliza tamko rasmi la chama cha demokrasia na maendeleo kuhusu kufutwa kwa uchaguzi wa Kenya.
Chama hiki kilitoa pongezi za dhati, tena mara mbilimbili huku wakisisitiza kua uchaguzi huo ulikua safi na wa uhuru na haki.
Muda mwingi...
Mambo usiyoyajua kuhusu bank kuu ya marekani(federal reserve bank).
1. Federal reserve sio sehemu ya serikali ya marekani. Au kwa kifupi serikali ya marekani haimiliki benki kuu yake.
2. Mabenki binafsi ambao ni wanachama wa Federal reserve ndio wamiliki wa benki kuu hiyo. Na uuzwaji wa hisa...
Kimsingi, Dola inakua na mihimili mitatu, yaani Bunge, Serikali na Mahakama..
Kwa vile Ibara ya 8 ya katiba ya Jamhuri ya Tanzania 1977(Kama ilivyorekebishwa mara kwa mara) inasema mamlaka ya nchi yapo chini ya wananchi, Bunge ni mhimili muhimu sana kwasababu unawakilisha Sauti ya mamlaka...
Habarini wanajamvi!
Waswahili wana kamsemo kao wanasema, Ukiwa Muongo, usiwe msahaulifu!
Edward Ngoyai Lowassa ni mmoja kati ya wanasiasa wazoefu, na wenye kipawa kikubwa cha ushawishi na ukongwe wa kujua kila baya linalotokea ndani ya siasa za nchi hii.
Watu wa karibu wa bwana Edward Lowassa...
Hebu turudi nyuma tuweke jambo hili sawa, kabla ya kuibeba historia ikiwa na takataka za uongo na propaganda. Jambo hili lilifanyika na likavalishwa koti ya propaganda na kuufanya ukweli usipate nafasi ya kujipenyeza.
Mnamo mwezi wa tatu mwaka huu(kama sikosei), barua ya Mhe. Zitto Zuberi Kabwe...
Hebu tuulizane kidogo: Ulipokua unasema Lowassa ni msafi kwasababu hakuna mahakama iliyotoa maamuzi juu ya tuhuma zake za kifisadi, utasemaje Prof Muhongo mtu ambaye alijiuzulu kwa shinikizo la bunge akahojiwa na kamati ya maadili na hakukutwa na kosa la kimaadili kua hafai kupewa uwaziri?
Hebu tuulizane kidogo: Ulipokua unasema Lowassa ni msafi kwasababu hakuna mahakama iliyotoa maamuzi juu ya tuhuma zake za kifisadi, utasemaje Prof Muhongo mtu ambaye alijiuzulu kwa shinikizo la bunge akahojiwa na kamati ya maadili na hakukutwa na kosa la kimaadili kua hafai kupewa uwaziri?
Mfumo ni muunganiko wa muundo, njia zilizowekwa na watu(au sheria) katika kutatua shughuli flani, kufanya kazi fulani na kuhakikisha jambo fulani linafanyika kama linavyotakiwa lifanyike.
Mfumo unabeba watendaji, wasimamizi na viongozi ambao kazi yao inakua ni kuhakikisha mambo yanakwenda sawa...
Kwanza, kabla sijaanza kuzungumzia swala hili naomba niweke msimamo wangu wazi bila kuficha, mimi ni kijana mzalendo ambaye sio muumini wa chama chochote cha siasa nchini Tanzania, na ambaye nakerwa kupita kiasi na swala zima la ufisadi lilifanywa na serikali ya CCM katika kipindi cha...
Bendera hapo chini ni alama inayowakilisha au kutambulisha jamii ya watu wa jinsia moja. Yaani mashoga(watenda na watendewa), wasagaji, na kiujumla waumini wa mapenzi ya jinsia moja.
Bendera hii ilitengenezwa kwa mara ya kwanza huko Marekani, Mjini San Fransisco mwaka 1978.
Kwa watumiaji...
Kilio changu kili[...], kina[...] na kitaendelea kuhusu madhara ya sera za kibeberu za Marekani na washirika wake wa Magharibi ndio chanzo cha umwagaji damu wote unaotokea hapa Duniani, na tutaendelea kuteseka kwenye hili mpaka Kila upande, nchi au watu watakapokua tayari kuupinga kwa...
Kilio changu kili[...], kina[...] na kitaendelea kuhusu madhara ya sera za kibeberu za Marekani na washirika wake wa Magharibi ndio chanzo cha umwagaji damu wote unaotokea hapa Duniani, na tutaendelea kuteseka kwenye hili mpaka Kila upande, nchi au watu watakapokua tayari kuupinga kwa lengo...
SOMO KUBWA tunalolipata kuhusu matukio ya kigaidi yanayoikumba Kenya ni kwamba; TUSIWE VIMBELEMBELE na kujifanya tunaweza wakati usalama wetu wenyewe wa ndani unatushinda kuulinda!
Nikianza na tukio lililokua kama kitovu cha ugomvi mkubwa kati ya Al Shabab na serikali ya Kenya, ni lile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.