Leo 20 January mtandao wa airtel umekuwa down kabisa, sms haziendi, Internet imegoma na huduma za airtel money zimekuwa chini sana ku process.
Yaani nimepata hasara sana leo pia nimeshindwa kuwasiliana nipo pande za Dar hapa.
Airtel mtufidie wateja wenu kwa usumbufu huu
Ukitaka kutambika au kuongea na mizimu ya kichagga sharti uongee kichagga ndipo inakuelewa vilevile kwa mizimu ya kigogo,kihehe etc
Napata mashaka na hiki kiumbe kinaitwa Allah kwa nini lazima uongee kiarabu tu ndipo unawasiliana nae??
Mimi ni mwalimu lakini sijawahi kukopa mahitaji dukani kwa mangi au muha tangu nianze kazi mwaka wa 9 huu.
Na maisha nayapeleka fresh tu watoto wanasoma shule za watakatifu
Usafirishaji wa mizigo, abiria pamoja na utoaji wa huduma kwenye reli ya TAZARA ni kama umekufa au upo kwa kiwango cha chini sana.
Lengo la Mwl Nyerere kujenga reli ya TAZARA ilikuwa kurahisisha utoaji wa huduma za Usafiri wa binadamu na mizigo baina ya Tanzania na nchi ya Zambia lakini hadi...
Mimi kama mzazi nina mtoto anasoma primary hapo St Matthews changamoto ni kuwa wale walimu wa zamani wazoefu kwa ngazi ya primary wameondolewa wengi na kwa sasa kuna walimu wapya ambao wana struggle ku copy na hali ya wanafunzi
Watu wa mkoa wa Pwani ni wa ajabu
Nilipeleka TV kwa fundi aitengeneze,muda wa masikini ukafika fundi akaacha TV yangu akaenda masikini kuswali.
Huku nyuma watoto wakaja ofisi haina mtu wakavunja TV yangu kioo kwa jiwe.
Da nafika kwa fundi baadae nichukue TV yangu ananiambia alienda masikini...
Tatizo serikali inafanya recycling [emoji748] ya mawaziri ni kama nchi hii haina vijana au watu wengine wenye uwezo wa kuongoza.
Yaani mtu alikuwa Wizara ya nishat amefeli ,alafu huyohuyo unampeleka wizara nyingine.
Mtu mmoja anakuwa waziri wa ulinzi,michezo,afya,kilimo huyo huyo sasa sijui...
Sisi mambo ya kusilimu mtu yana umuhimu gani kwetu??
Mtu akiwa mkristo,muislamu,Hindu au asie na dini wote ni binadamu.
Na hakuna mtu aliekufa alafu akarudi kusimulia kuwa kule mbinguni kuna waislamu tu,au ni mbingu ya wakristo tu.
Tuwe na misimamo kiasi ya dini utaishi vizuri na watu popote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.