hizi ni hujuma za maza wa kizenji ''batilda'' hana jipya hio phd yake sijui ni ya ktu gani, hawezi kueleza kitu gani hasa atakifanya mara atapoingia madarakani.
kweli elimu ya bongo ni ya makaratasi zaidi.. hajui kitu huyu maza. Lema lazima aipeperusha bendera ya CHADEMA AR 2010.
God bless...
jk anahudhuria kama mgeni rasmi ktk mpambano kati ya stars na moroco, lazima 2pigwe bao/mabao maana huyu jamaa hata kuwa mshindi kwa chochote mwaka huu labda udiwani kule kwao chalinze, kadeclare failure kwa timu yote. pls jk dont come, stay away...
Kwa watu makini hawawezi kuamini au kusadiki matokeo yaliotolewa na REDET hapo jana kuwa baba Riz1 anaongoza kwa 76%.
Huo ni uwongo na ni ndoto za mchana kweupe, dr. lazima afunike mwaka huu.[/B][/B][/B]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.