NIMEITOA MAHALI
Leo naomba niweke mkusanyiko wa mada za kilimo.. nimeamua kufanya hivi ili kusaidia wale ambao ni wanachama wapya na wanachama wengine ambao wanataka kujikumbusha mada hizo na kuchukua hatua:
Tukumbuke!! TUKIWEKA JITIHADA.. KILIMO KINALIPA!!.nawapeni mfano: unaenda Kiwangwa...
hayo mafao kachukuaje bila management kujua/utaratibu ni lazima mwajiri ajaze fomu ya nssf aweke sahihi na muhuri sasa,lakini pia kabla hujaanza hatua yeyote ya kuprocess mafao ni lazima uende na barua ya mwajiri ikikuonesha ama umeacha,kuachishwa au kustaafu kazi.sasa sijui huyo ndugu yako...
mbona wafuata mkumbo wa ACT mnazunguka mmbuyu?hoja imeleweka kwakuwa kiongozi mkuu alitaja malizake hadharani katika dhana ya uwazi tena ya kizalendo basi itumike tena dhana hiyo kutueleza vyanzo vya fedha za kuendesha mikutano hii...Na akifanikisha hili bila kuuma maneno na mimi ntajitazama tena.
kama ni kweli basi atakuwa katika kundi lile la waroho wa madaraka na msaka shibe...alikosa kuwa mwenyekiti wa bavicha lakini pia akiona dalili zote zakuto pitishwa na chama kugombea ubunge rombo...nasubiri kuona kama ni kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.