Kampuni hii ilijijengea jina na heshima kubwa sana kwa watanzania hususan vijijini kwa kusaidia kutoa suluhisho LA umeme mbadala. Kwa sasa hawa jamaa wanatumia jina lao kulaghai watu.
Ni warongo sana watu hawa kwa wateja wao.
Ukiwalipa pesa ili wakufungie mtambo, pasa wanakula na mtambo hipati...
Ushauri: Online class masomo ya sayansi katika kipindi cha corona wapewe walimu wazoefu;- Muddy physics, Mgote, Mbuga, Mkandawire na makumaku
Kutokana na mchango mkubwa wa hawa manguli wa lecture za mitaani hasa maeneo ya mchikichini. Kwa wale waliosoma miaka hiyo, nadhani wanakumbuka mchango...
Kwa uchache roho za wengi zinaanza kupoa, usiku unaanza kupambazuka, asubuhi yenye upepo mwanana, inasindikizwa kwa mbali na milio ya ndege wazuri.
Baada ya taarifa za BM kuonesha nia ya kugombea urais 2020 watu wengi wameanza kuona faraja mbele yao, mbadala wa maisha magumu yaliyopo, mbadala...
Kwanza kabisa jamaa hana siasa za propaganda ni mpambanaji kweli tangu ameanza siasa zake utamuona front line. Pili sio mwanasiasa wa kupinga kila kitu,ukiangalia comment zake nyingi kwa serikali ni kupinga panapostahiki na kupngeza au kuunga mkono panapostahiki.
Tatu jamaa ni msomi aliyebobea...
Kushangilia daraja la Tazara ni ulimbukeni au ni ushamba. Maputo city imezindua bonge la daraja linalovuka bahari, Dar tunachekesha sana fuatilia BBC
New bridge spans Mozambique capital
Leo kiongozi wetu wa kitaifa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amealikwa kuwa mgeni rasmi katika mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi kitabu kitukufu cha Quran yaliyopangwa kufanyika katika uwanja wa taifa wa Daressalaam. Mashindano yameandaliwa na Alhikma foundation chini ya usimamizi wa shaikh Nuur...
Nikiwa kama mwekezaji mdogo katika mji huu wa Ruangwa ambao dhamana ipo kwa Mh. Majaliwa imenibidi nifunge biashara zangu na kurejea mkoani kwetu baada ya mji huu kukosa umeme wa uhakika kwa muda mrefu.
Inafikia kipindi takriban siku mbili mflulizo bila ya umeme, vyakula vinaharibika kwenye...
Tarehe 04-oct ni siku ya kusainiwa mkataba wa amani nchini msumbiji kutkana na kusimamishwa vita ya wenyewe kwa wenyewe kati ya Renamo na Frelimo chama kinachotawala nchi hiyo. Ndani ya siku hiyo ambayo ilikua mapumziko mji wa Nampula uligubikwa na simanzi baada ya meya au rais wa manispaa ya...
Namuona mkuu akifunguka kuhusu uzushi katika mitandao ya kijamii, akichangia kuhusu utafiti uliofanywa na BBC. Hongera kwa JF
Zaidi soma=>Maxence Melo: Watanzania wengi waoga pia kuna taasisi zinaogopwa hazipewi changamoto mtandaoni
Mbunge wa jimbo la Kaliua mkoani Tabora Magdalena Sakaya amesema mgogoro wa chama cha CUF sasa hivi umeisha na akaunti za chama zilizokuwa zimefungwa sasa zimefunguliwa na wanapokea ruzuku tangia wiki iliyopita na kuwaasa wananchama wa chama hicho kukiimarisha chama kwa ajili ya uchaguzi wa...
Unafiki ni wa kiwango cha juu. Udhabidhabina, uchumia tumbo, kupenda kupinga kila kitu, kupenda umaarufu yaani kusema ili uonekane umesema, ukigeugeu, usaliti, wale waliokufa kwa kuhamasika nao enzi za ukombozi kama kule Arusha basi leo wangefufuka wangejuta kwanini waliamua kuwapa maisha yao...
Yaani kila kauli inayofukunyuliwa ya chadema na viongozi wao juu ya ajenda zao za kisiasa za Mwaka 2010-2013 ni kinyume nyume kana kwamba wao sasa wamekua Ccm na ccm ndio imekua chadema. Kauli za Y. Nyerere na washadadivu wengine wa chadema mpaka viongozi wao zinatia aibu kwa sisi ambao tumeanza...
Nikirejea kwenye bunge la katiba, nadhani ndiye alikuwa mwanasiasa mahili kwa kujenga hoja za kutetea katiba pendekezwa ya wananchi, Umoja wa katiba ya wananchi ukawa umezaliwa kwa hoja zake, japo baada ya wateule kutengana wabakiaji wanautumia umoja huo kama mtaji wa kisiasa, hoja zote za...
Je unakumbuka nini katika maisha yako ya kitaaluma ukitajiwa hawa watu? Kama wewe umesoma sekondari miaka ya 1998 kwenda juu utakua unanielewa sana hapa. Mwenye update za hawa mageneus Wa hapo dar watupe update. Mungu awalipe their nyingi sana kwa kufufua vipaji vingi hapo Tz.
Kuna jamaa yangu ni general clinician ameniomba ushauri kuhusu specialization nikashindwa kumshauri. Awali alifikiria kuwa orthopedic lakini akahisi kama hailipi sana kwa tz au urologist vipi kwa mliopo vitengo MNA ushauri gani kwenye hili.
Hii ndio Tanzania nchi ya maziwa na asali yenye watu wanaoitwa watanzania.....watu hawa in wagumu sana kuwaelewa labda nikupe tu utambulisho wao hawa jamaa ni vigeugeu vinyonga na hawaeleweki wanataka nini, pengine nao hawajui wanataka nini, ni watu wa kulalamika sana. Wakipigwa na jua jasho...
Kama kuna watu waliojilipua kwenye zao hili naomba kupata mrejesho maana nasikia watu wanafungasha virago upande wa nachingwea kuna wadudu wanaitwa vibaruti hawasikii dawa wanatafuna majani ile mbaya. Tumejaribu Ninja ... Duduall zote zimeogelea. mweny ujuzi wa hii kitu aokoe jahazi hali ni...
Ameshushwa kwenye Gari anatoka Mueda to Pemba ana hati ya kusafiri na kadi ya chanjo.
Nimeshindwa kupiga picha kuhofia usalama wangu.
Tanzania must act, inaonekana polisi hawataki kuona mtu ambaye ni mtanzania huku Msumbiji.
Nafuatilia kwa ukaribu matukio, nimepenya ndani. Nanyapia nyapia.
Amesikaka mara kadhaa raisi wetu katika baadhi ya Hotuba zake, akielezea neema walizowahi kuonja raia wa Libya kabla ya muamar Gadafi kuuwawa, kwa ile ongea yake ni dhahir kabisa anatamani. Matibabu bure, Umeme bure, matibabu bure, mishahara kwa wazee, ruzuku kwa anaeoa na mengineyo mengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.