Hatuna helikopta tunataka Jet.. wabongo bhana.. tunaanza kutambaa kabla ya kutembea..asante mkuu.. nashukuru sasa wanafanya kazi sio kukimbiza mashoga mijini kama mabasha wa kipemba...
Habari za leo wadau wa JF..
Kwanza niwape pongezi wadau wote kwa ushirikiano na michango yenu mnayoitoa kila siku. Nilikuwa naomba kuuliza kama kuna mdau yeyote anawafahamu watu ambao wanashughulika au wanaweza kusafirisha kuku wazima kutoka Kenya kwenda Tanzania. Na kama kuna viable vyovyote...
Huh ndio utumwa wa kifikra. Nani kakuambia kwamba upeo au ufahamu wa mtu unatambaliwa kwa uwezo wa kuzungumza lugha za kigeni?
Umeshawahi kusikiliza kiingereza cha Gaddafi?, Putin? Sarkozy? au Mao?
Usijiwekee pingamizi lako binafsi kwa kudhani lugha ya mkoloni ndio suluhisho, kwani mahojiano...
Je, mwenye wazo la hiyo biashara ana miliki asilimia ngapi ya biashara regardless kwamba watoa mtaji na mentoring ni wao mataita? Na nani anamiliki trademark ya hiyo biashara pia? Just curious natilia mkazo kwa ung'eng'e..
Habari za leo wadau..
Kwanza poleni sana na misaada yenu mnayotoa katika kuelimisha na kutusaidia kwa namna moja au nyingine humu kwenye forum. Mimi nataka kuanza ufugaji wa bata maji aina ya pekin ila nimejaribu kuulizia maeneo mengi ya bara na visiwani na kwa watu wengi wanaouza bata kama...
Mkuu wakisema free int'l economy wanamaanisha ni economy kweli... in another words ni cheapest shipping means available in the market. Wape up to 6 wks kiongozi ila mzigo utafika tuu..
Habari za leo wadau wa JF,
Poleni sana na uchovu wa wikiendi. Natafuta mtu ambaye anaweza kunisaidia kupata bata wa aina ya pekin na nina maanisha pure white pekin duck. Nahitaji wasiopungua 50 kwa ajili ya kuanza kuwafuga kwa hiyo wale ambao ni wadogo kidogo kama miezi miwili ndio watakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.