MWL IDARA SEKONDARI NJOO TABORA MANISPAA MWL AJE MORO AU DAR
NJOO H/W TARIME MWL AJE MASASI, MTWARA
NJOO MANISPAA YA SINGIDA MWL AJE MANISPAA YA DODOMA
If u r interested ni pm
Ukiisoma thread vizuri utaona haijazungumza kuhusu mifumo ya kiutawala wala haijaibua chuki dhidi ya elimu kwa watoto wa kike. Hata hivyo kama umefuatilia kwa karibu suala hili utakuwa na taarifa kuwa idadi ya watoto wanaosoma bure pale Babro ni ndogo mno tena sana kiidadi kuliko wanaolipa. Hili...
Wakuu,
Nadhani si jambo la kushangaza wala siyo habari mpya kwamba nchi yetu imejaa viongozi wabinafsi na wanaojali matumbo yao kuliko utu na utaifa. Kwa kiasi kikubwa tuna upungufu wa viongozi wenye uzalendo.
Msingi wa hoja yangu ni namna baadhi ya viongozi wa umma walivyonufaika na pesa za...
Naamini kwa wanajamvi wote wanaofuatilia bunge hili jioni ya leo watakubaliana na mimi kuwa Mheshimiwa mwenyekiti wa leo ameongoza kizalendo zaidi katika kupitisha bajeti ya Wizara ya Viwanda na biashara na wala si kichama kama baadhi ya wenyeviti wengine.
Mwalimu yupo Singida Manispaa Idara ya Sekondari anatafuta mwalimu wa kubadilishana kituo cha kazi kutokea Mwanza kati ya Ilemela au Nyamagana. Kama upo tayar ni PM
hivi wewe kabwela unaakili kweli?unahisi kupangwa temeke kunakifanya kuwa Mungu mtu mpaka umwambie mwenzako akupe milioni 7 ndo mbadilishane"!!! shika adabu yako ----- wee...
Nimejaribu kupiga hesabu hapa,kama kwasasa graduate anapata basic 532,000/- na kama wakiongeza 20% basi basic itakua 638,400/- ukiweka makato yote take home itakua 500,128/-
Haujachanganya taarifa hapo mkuu?
Suala la kesho kugombana na magufuli lilisemwa na Mwakyembe katika ujenzi wa reli itakayowezesha usafirishaji wa madini ya nikotin kutoka Burundi ambapo alisema
kutokana na uzito wa mizigo hiyo haiwezi kusafirishwa kwa barabara vinginevyo itakapoanza...
Baraza la uongozi la cwt (chama cha walimu tanzania) lasisitiza kuwepo kwa mgomo licha ya serikali kusitisha mgomo huo kwa kuwa ni batili. Mkoba (mwenyekiti wa cwt taifa) amesisitiza kuwa mgomo upo kwa kuwa mahakama kuu divisheni ya kazi haijasitisha mgomo huo
Source Channel ten habari
Sasa jamaa anawaza atafanyaje kumhakikishia yule binti kwamba yupi fiti sababu anahisi yule msichana keshaanza kumtangaza vibaya hapo chuoni.
kwa jinsi unavosimulia na kuonyesha kuguswa bila shaka ishu imekutokea... kuwa muwazi tu
Anyway, kama binti aliridhia kwa mapenzi yake mwenyewe haitakuwa...
kanuni inataka kuwepo kwa nusu ya wabunge ili kuweza kupitisha maamuzi bungeni lakini kwa jinsi mahudhurio yalivo Mbatia anasema amehesabu na kuona wabunge waliopo hawazidi mia na kumi wakati nusu inapaswa kuwa mia sabini na tano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.