Ni vizuri tujadili hiyo katiba mpya ila tusifanye makosa tukarudisha kasoro zilizopo kwa sasa.Ni muhimu kila upande ukubaliane na katiba mpya kwa kutoa maoni.Bila shaka kupitia katiba mpya tutajenga Tanzania mpya na yenye matumaini.:A S 13:
Kuishitaki chadema ni sawa na kuwashitaki wananchi na hasa sisi wanyonge, kwa maana nyingine ni kukiongezea umaharufu chama.Wakumbuke Chadema ni chama chenye mtaji wa wasomi lukuki na kwa sasa na wasio wasomi wakiunga mkono kupitia sisi wasomi.Kuna siku nchi itaandamana kama Tunisia na Jk...
Angalia ahadi za Jakaya Mrisho Kikwete alizozitoa kwa watanzania mpaka sasa na kasema chanzo cha mapato kuwa ni misaada toka UK,Marekan, Japan, China na Urusi msikilize vizuri kila ahadi anasema ameongea na hao mabwana zetu!
1.Viwanja vya ndege vya kimataifa.
-Misenye Omukajunguti...
CCM hawajui walitendalo,wanasema ni mtetezi wa wazee wakati wazee wa Africa mashariki wanaodai haki yao iliyolipwa na waingereza kwenye serikali yetu hawajalipwa na juzi mmoja wamemuua akidai hiyo haki yake walipoziba njia pale mahakama kuu.Inashangaza saaana.
Bunazi pamoja na Bukoba mjini nilikuwepo na umati uliokuwepo haijawai tokea tangu bukoba iwepo maana na helkopta ilikosa nafasi ya kutua mpaka ikatua nje kidogo na mji wa bukoba.Lwakatare bado yupo juu ndugu yangu na kwa sasa Kagasheki jasho linamtoka.Mpaka hapo bukoba tumeisha muhapisha...
Kalonzo Musokya kwanza ni msaliti wa orange democratic movement (ODM) lakini pia amekuwa masaliti wa chama chake pale aliposimama kama mgombea uraisi na alipoona hana uwezo wa kushinda alijipendekeza kwa siri kwa Mwai Kibaki ili ampe umakamu.
Nadhani huyu ni zuzu na ana tamaa kwelikweli...
Ni Dr, Willibroad Peter Slaa anayeweza tu kututoa hapa tulipo maana yupo tayari kula mhogo ikulu kwa kuwatanguliza watanzania.Jk hana tofauti na Rostam Azizi, Luwasa na Basil Mramba.Tumia busara tusonge mbele.
Anayesema Kikwete anafaa nadhani anaumaskini wa kufikiria na hajijui wala hajui watanzania tuna matatizo gani mpaka sasa! Mikataba ya madini imekuwa siri ya mafisadi na madini yakiisha tutakuwa maskini wasio na milango ya kutokea.Kama hujui elimu ya tunu yetu kutoka kwa mungu yaani Dr.Slaa...
TAFAKARI CHUKUA HATUA.
Je hali inayoelezwa hapo chini ni kweli?. Kuna kitu muhimu kimeachwa hapo chini ambacho kinaathiri maisha ya mtanzania ambaye vitu vingi vinatoka nje, nacho ni kushuka kwa thamani ya shilingi ya kitanzania (kwa sasa 1$=1500). Tukitathimini hiyo ,sijui kelele za kuwa...
Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa kiakili, tena asiye na utando wa buibui wala tongotongo za ufisadi machoni, wala asiye mzembe wa kufikiri, anaalikwa asome kwa uangalifu na azingatie makala hii na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.