Jana nilimtuma kijana akanunue LUKU ya Tsh. 12,000/= hapo maeneo ya Science.
Cha ajabu kaja na Unit 45 tu. Nilipochunguza, nikagundua units hizo chache zimesababishwa na mlundikano wa kodi nilizobebeshwa bila hatia.
Angalia mlolongo wa kodi hizo;
1. VAT 18%
2. EWURA 1%
3. REA (Rural...
Ni maziko ya Major General Somebody aliye kuwa anazikwa makaburi ya Kiislamu Kisutu mchana/ jioni hii.
Hupigiwa mizinga 21- controlled.
Nimeongozana na malori matatu ya jeshi jioni hii yakiwavuta Mizinga hiyo along Alli Hassan Road.
Ndibalema umelonga.
Kama wiki mbili zilizopita nilimsindikiza jamaa yangu anayesumbuliwa na kisukari kwa muda mrefu. Dr. Ndodi amekuwa akijinadi katika vipindi vyake vinavyorushwa na Star TV kuwa anatibu kisukari; wiki kumi na tano kwa wagonjwa ambao hawajaanza kutumia Insulin. Kwa wale ambao...
Komba ndiyo zake hizo.
Nakumbuka mwaka 2009, Oct kulikuwa na Public Hearing ya Law of the Child Act 2009 kwa siku mbili pale Karimjee Hall. Yeye, kwa capacity yake kama Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii aliidhuria.
Alikuwa na sifa mbili; anakuja amechelewa, alafu akisha kaa...
Note; Najua hii forum haiendani na topic yangu, but kwa kuwa Wataaluma wengi hupitia hapa naomba hii post ikae hapa kwa muda....tafadhali Wakuu
Dear JF Members, a favour please;
Am working on a brief information sheet (4-6 pages) on HIV and indigenous communities in Africa/ Tanzania. I...
Dear JF Members, a favour please;
Am working on a brief information sheet (4-6 pages) on HIV and indigenous communities in Africa. I have made some contacts regarding the research but it has not been Successfull.
I wonder if you know of any organizations or individuals who are or have done...
Nimefanya uchunguzi kitambo sasa kuhusu style ya uendeshaji wa madereva wa Kike hapa Dar. Nimegundua yafuatayo;
1) Hawako relaxed wanapoendesha magari, wapo tense;
2) Huvuta kiti cha dereva hadi matiti yanapokugusa usukani (steering);
3) Hawana uwezo wa kupepesa macho kulia na kushoto...
Muandaaji wa Miss. Utalii 2011 ni Ndugu Chipungahelo.
Huyu jamaa hana historia nzuri katika uandaaji wa mashindano na concert mbali mbali. Mnaokumbuka, ameshawatapeli wasanii chungu nzima.
Kwa mfano muulize Nyota Ndogo wa Kenya "ni Promoter gani wa Ki TZ unayemkumbuka sana ?"- atakujibu...
Last Thursday, kulikuwa na kipindi maalumu kilichorushwa na ITV majira ya saa 3- 4.30 usiku. Walikuwa wanaonyesha "dhifa" ya chakula cha mchana iliyoandaliwa na Bwana Mengi kwa walemavu pale Diamond Jubilee.
Kituko ni pale Mengi alipokuwa anawa introduce staff wa IPP ambao wange serve chakula...
Zito amekamatwa na kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumtorosha mtuhumiwa katika kituo cha Polisi wakati wa kampeni.
Amesomewa mashitaka, amekanusha na amedhaminiwa na mtu mmoja hadi kesi itakapotajwa tena January 2011.
Source: Breaking News ya Radio One kama ilivyoripotiwa na Reporter...
Originally Posted by Kudadadeki
Wakuu, mbona hamchangii hii thread ???
Kama hii thread ni "Scrap", then tell me so.....
It will be great feedback and nitapost thread mnazozipenda eg, mabinti kukaa uchi/ kutovaa kufuli, kufumaniwa/ kufakamiwa etc.
Du, PJ acha vitisho.... Wayajua matusi...
Wakuu, mbona hamchangii hii thread ???
Kama hii thread ni "Scrap", then tell me so.....
It will be great feedback and nitapost thread mnazozipenda eg, mabinti kukaa uchi/ kutovaa kufuli, kufumaniwa/ kufakamiwa etc.
Wakuu, sijamsikia kwa muda sasa mtangazaji wa East African Radio Mussa Hussein.
Binafsi, nakifuatilia kwa ukaribu kipindi cha "Super Mix" (9am- 1pm weekdays). Siku za karibuni kipindi hicho kinaendeshwa na Comedian Zebwela na somebody Baruti (Shalobalo), je wana jamvi, kuna yeyote out there...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.