Nakumbuka jinsi inavyoniuma ile KIPINDI NDEGE inakaribia KUTUA. Unaanza kuona MABATI YA KIPAWA NA GOMZ na BONGO YOTE. Inauma sana . Ukitoka airport mitaa haieleweki. Huwa naumia sana nikiwa natoka nje ya nchi. Najiuliza kwa viongozi wakubwa . Je ni sawa ?
Wote mnaomdiss victor hammjui vizuri . Huyo ni mtoto wa mzee wa madini na pia yeye mwenyewe ana deal na madini since akiwa mdogo. Hizo kufuru kaanza miaka hata 16 nyuma . Sema now media ndio nyingi na hana mambo ya kupost mtandaoni ila watu wanMpost sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.