Kenya. Watu 10 wamepoteza maisha leo Jumamosi Aprili 8, 2023 katika Kaunti ya Migori nchini Kenya kutokana na ajali ya lori ambalo inaelezwa lilifeli breki na kuparamia kijiwe cha bodaboda Watu hao waliopoteza maisha inaelezwa ni vijana wa bodaboda waliokuwa wakisubiria wateja kwenye kijiwe...
Kijana Henry James (28) Mkazi wa Kijiji cha Kandaga Wilayani ya Uvinza Mkoani Kigoma ambaye aliyefariki na kuzikwa mwezi April 2022, amepatikana akiwa hai December 28, 2022 na kuungana tena na Familia yake huku akisema “mlipokuwa mnazika nilikuwa nimesimama pembeni kwenye mti”
Mama mzazi wa...
Tuliaminishwa proganda eti Al Ahly wakitaka kumtoa mkopo shariti club ya kwanza iwe Simba kikowapi sasa? Luís huyoo uarabuni tena mkopo una options wa kununua moja kwa moja wale jamaa wa kujifanya wakubwa wako wapi? Nyie ni wenzetu tu wa hapa hapa
Straight kwenye point leo nlikua nafanya usafi nyumbani kwangu nikakutana na hawa wadudu ( kwenye picha hapo) awali nilidhani kama mbegu za either maboga au matunda mengine jamii hio baadae nikagundua wana tembea nme attach video hapo chini, naomba kufamishwa ni wadudu gani hawa na hawana...
Mimi ni mpenzi mkubwa wa muziki wa Reggae, mara nyingi nasikiliza online hasa radio za Kenya mfano Getho radio, Vybyz radio etc.
Kwa Tanzania kipindi cha Lover's Rock cha EA radio kulikua kina nivutia sana na sababu ni moja tu mtangazaji wake Baba T jinsi anavyo host kipindi, matamshi yake pia...
Kuna nini ITV na Lowassa? Mbona kila siku taarifa ya habari ni yeye tu?
Kuna maswali ya kujiuliza hapo:
1.Anayetafuta wadhamini CCM ni Lowassa tu?
2.Hao wengine sio habari mpaka huyo tu?
3. Watazamaji wa ITV wote wanapenda habari za mtu mmoja tu?
Tafadhali sana ITV mnajishushia...
mpka sasa nashindwa kumuelewa msemaji wa simba kuhusu swala la Ramadan Sigano kwnn alikurupuka kusema vitu asivyo kua na uhakika navyo pili wao wamepokea uongozi kutoka uongozi wa kina Rage hayo mambo ya simba kumsomesha Rama kayafahamu lini haoni kua kasha haribu sycology ya mchezaji?
kama hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.