Dawa yao ni kuwanyima tu. Ukiwapa unaendekeza upumbavu. Mimi sijawahi kuwapa pesa hawa watu. Watanzania nchi hii tunaijenga wenyewe na kuibomoa wenyewe.
Big up mleta uzi. Lakini isije kuwa uliwapa hapa unakataa!!
Lakin mkuu kumbuka kuwa haya magari yetu yanatokana na vipato vyetu. Lkn pia kumbuka kuwa kila mtu anafanya anachokipenda. Ukitaka vitz haya, opa, ist, spacio, Benz, ni ww tu. After all hakuna wa kukuuliza. Ka passo kangu kananirahisishia mengi. So it's a wrong idea.
*Wadaiwa wa Simba waisambaratisha Yanga.
*Dida aacha gumzo Tunisia.
*Refa aiua Yanga.
*Yanga yaendeleza historia kwa timu za kiarabu.
*Yanga yatolewa kiume.
*Sababu____ za Yanga Kutolewa CAF.
Polisi sitaki hata kuwasikia! Kwanza sijui wapo kwa ajili ya Nani! Niliibiwa vifaa vyangu nikaripoti kwao. Kilichotokea mwizi wamemjuwa, ili wakamfuate mwizi wangu wakaniomba rushwa ya 100,000. Nikagoma, nikawaambia mwizi huyo wamuache aendelee kupeta tu. Hii ni Polisi jamii au Polisi rushwa??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.