Ni kiwanda kidogo kinazalisha bidhaa na kusambaza. Kwaiyo anatafutwa kijana mwenye ushawishi wa kuuza bidhaa pamoja na uzoefu wa kazi za mauzo. Malipo kwa commision ila utapewa usafiri au nauli siku utakazokuwa kazini. Njoo inbox tuongee zaidi.
Habari zenu! kwa wale wakazi wa iringa wenye migahawa pamoja na matumuzi ya nyumbani, nauza maziwa ya ng'ombe fresh na mgando.
Lita moja ya maziwa freshi tshs 1,500/= na maziwa mgando lita moja tshs 2,000/=. Karibuni sana tuongee biashara.
nyumba mpya inapangishwa ipo iringa mjini, eneo linaitwa gangilonga. kama una uhitaji na nyumba ya kupanga tuwasiliane kwa namba 0784414887 (namba hii ni ya mmiliki wa nyumba iyo na sio dalali)
Ardhi tupu ekari 1000 zinauzwa @140000/=
Zipo wilayani Mufindi umbali WA kilomita 70 kutoka Mafinga mjini. Pia ardhi ekari 30 zenye miti aina ya pine zinauzwa( miti INA umri WA miaka 3)@900,000/=...hizi zipo km 60 kutoka Mafinga mjini.
Kwa Maelezo zaidi ..0768911465/0719151885
Naombeni msaada wenu ndugu zangu. kuna nafasi za kazi zilitangazwa Morena hotel mwezi march 2015, mimi pia niliomba sasa kutokana na kukaa kimya kwa muda mrefu mi nlijua watu wameishaitwa na wapo kazini. sasa leo Mungu si Athuman nimepigiwa simu kuwa nifike kwenye interview kesho. na mimi...
Kiwanja chenye ukubwa wa sqm 700 kinauzwa, kipo manispaa ya iringa eneo la kitwiru. kiwanja hiki kimepimwa na kipo eneo zuri kwa ajili ya makazi, bei ni tsh 4,500,000/= ila pia tunaweza ongea.
kwa mawasiliano zaidi 0688668630.
shukrani.
Wazima jamani?
Kutokana na kazi yangu natumia muda mwingi nkiwa kwenye computer, nimeongezeka uzito kwa kiasi kikubwa. naombeni diet itakayonisaidia kupunguza uzito kwa muda mfupi.
Natanguliza shukrani!
Toka nimalize chuo hali yangu kifedha inazidi kushuka kila siku, na naona itafikia pahari sitoweza ingia jf kabisaaaaa, so natoa contancts S. L. P 2242. Tuwasiliane.
Jamani naombeni mnijuze kuhusu course hii ya development study, je inaajira za kutosha tanzania? Na kazi zake ni za aina gani? Na mdogo angu anataka akachukue BADS chuo october.
Jaman wana MMU nataka kushare na nyie furaha nilionayo, nmezama kwenye mapenzi n thnx to God ninaye mpenda na yeye ananipenda pia. Natamani na kutaka penzi letu lidumu!!
Pindi kimeisha toka sa sita ila lecturer kakomaa bado anafundisha tuu, afu mi natakiwa nkapitie mara ya mwisho notes coz nina pepa badae, cjui niinuke ntoke?
Yani kuanzia j3 ilikua mbaya kwangu. Mara nikose viquiz vya marks tano tano, mara niumwe mara lecturer anikwaze, mbaya zaidi ni nilipopoteza wallet yangu ikiwa na vitambulisho muhimu (card ya bank na kitambulisho cha chuo) na vipesa kidogo. Kwakwel it z terrible. Hope kuanzia j3 itakua njema.
unajua nimekaa nkajiuliza kama wiki nzima hivi, hivi maandamano ya chadema yangekuwa hayana mwemko wa wananchi kuna mtu angesema wamevunja sheria ya vyama au kutukana?
man: i could go to the end of the world for you. woman: yes, but would you stay there? man: i offer you myself. woman: i am sorry, i never accept cheap gifts. man: i want to share everything with you. woman: lets start from your bank account
vyuo vingi vinafanya mitihani ya ue mwezi huu, kati kati au mwishoni. nachukua nafasi hii kuwatakia mitihani mema wanafunzi wa vyuo vikuu wote "mana mitihani ikikaribia cthan kama wataingia hata jf, itakuwa msuli ue" all da best!!!
wengi hatunatabia ya kutojisomea mara kwa mara, balaa linakuja tunapotangaziwa test au mtihani, hapo watu wanakesha(kubundi) usiku kucha. hivi lini tutaacha hii tabia ya zimamoto????
jamani naombeni mniambie sehemu nzur dodoma utakazo tumia kureflesh wikend. mana haka kamkoa sehemu za kutembelea na kuenjoy ni tatu cjui mkoa mzima, mana kama sio dodoma hotel, 84, kiliman na wap? "nitajieni bac nmechoka kukaa ndan"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.