Wewe kibanga unapotosha watu. Unapoongelea swala linalohusu hela especially ushuru inabidi ukamilishe mahesabu. Mpe mtu gharama zote kama tansad itakavyotoka. What if huyo mtu aweka budget ya 3.4m halaf inakuja kuongezeka kwenye tansad?? Nakufundisha tena unapompa mtu estimation ya kodi...
Abra One cif means Cost, Insrance na Freight. Kiswahili maana yake ni gharama ya mzigo, bima ya mzigo ukiwa melini au kwenye ndege au usafiri wowote utakao tumia na gharama ya usafirishaji (nauli)
RR agent wako alikulisha tango pori. Alitakiwa arekebishe invoice isome kama cif ya kwenye database inavyosema. Njoo kwa maprofessional kwenye industry hii tukufanyie kazi yako fair.
NINAWEZA BREAK DOWN HIYO..
D. O charges $85, ushuru 3,783,391.00, cif price kwenye database ya tra $2450, port charges 300,000.00, plate number 38,000.00 agency fee 250,000.00
D. O charges (shipping line) ya xtrail haiwez kufika laki5 ni dola 87 tu. Ushuru ni 7.6m cif price kwenye database ya tra ni $5164.00 na port charges ni laki5. Plate number 38,000, agency fee 250,000.
Habaru zenu wana JF. Naitwa denis niko dar es salaam pia nafanyia shughuli zangu jijini dar es salaam. Najihusisha na uwakala wa forodha (customs agency) ama kwa lugha zoefu CLEARING AND FORWARDING.
° Aina ya shughuli/huduma zangu:
* kutoa mizigo kupitia bandari ya dar es salaam kama vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.