Search results

  1. lushalila

    Kuna katazo la bajaji kuingia katikati ya jiji la Dar Es Salaam?

    Wanajamii forum, Toka wiki iliyopita kuna kamatakamata ya bajaji kwa kigezo kwamba kuna katazo la bajaji zisizoendeshwa na walemavu kuingia mjini. Binafsi sijasikia katazo Hilo naomba anayejua zaidi tujuzane.
  2. lushalila

    Kuhusu Mfuko wa Hifadhi ya Jamii-NSSF

    Mimi ni mhanga wa kupoteza ajira kutoka mwaka Jana mwezi wa kumi na moja. Nimefuatilia kupata mafao yangu hadi leo hakuna kinachoeleweka ni kalenda tu. Kila ninayemwona pale anasikitika hakuna anayetoka na jibu la matumaini. Hivi hii ndio sera ya mfuko au ya serikali au ni bahati mbaya tu?
  3. lushalila

    Msaada kuhusu severance

    Naomba wajuzi mnisaidie kuhusu hii haki ya mfanyakazi inayoitwa severance anapewa mtu mwenye sifa gani? Na hili ni takwa la kisheria au ni hisani ya mwajiri? Kama hijapewa unafanuaje? Ahsanteni
  4. lushalila

    Msaada kuhusu " severance"

    Naomba msaada kwa mwenye ifahamu wa sheria ya ajira, kuna kitu kinaitwa severance kwa mtu aliye maliz amkataba wa ajira, Inamlazimu mwjiri kukupa au ni hiari tu ya mwajiri. Ahsanten
  5. lushalila

    Msaada kuhusu "SAVERANCE"

    Naomba kuuliza wenye kujua hii kitu SAVERANCE kwenye sheria ya ajira anastahili kupewa mtu mwenye sifa gani? Ninavyojua kwa mtu mwenye mkataba anapomaliza anastahili kupewa, sasa je kama mwajiri hajakupa ufanyeje ili upate hakiyako hiyo? Ahsanteni
  6. lushalila

    Msaada kuhusu jkt

    Naomba mwenye kujua kuhusu jkt , sifa za kujiunga, yani elimu, umri, na ni kozi gani zinatolewa uko na ni kwa muda gani pia , Sent using Jamii Forums mobile app
  7. lushalila

    Body za kitaaluma kama PSPTB na NBAA unaweza kujiunga na vyuo?

    Naomba mwenye uelewa kama kuna uwezekano wa mtu aliyesoma masoma ya bodi za wataalamu kama PSPTB na NBAA nk, wanaweza kujiunga na vyuo hapa Tz bila kua na matokeo ya form six au diploma na pia kama inawezekana ni kwa level zipi.
  8. lushalila

    Jinsi gani unaweza kutoka professional bodies na kujiunga na universities

    Naomba mnisaidie wenyekujua Mimi nimesoma masuala ya procurement, nimepata elimu hiyo kwenye bodi ya wataharamu wa ugavi na ununuzi, psptb. Nimefikia level inayoitwa p3 . Natakakujua Kama kuna uwezekano wowote WA kutumia matokeo hayo nikajiunga na masomo ya degree bila Kuwait na matokeo ya form...
  9. lushalila

    Kuhusu psssf

    Wana jamvi vipi kuhusu uunganishaji wa mifuko ya hifadhi ya jamii imefikia wapi, nasikia kuna mifuko mpya unaitwa psssf. Kama upo tayari vipi kwa sasa MTU anayepatwa na janga anaudumiwa na mifuko upi, ? Janga kama vile, kuachishwa kazi, kuacha kazi, kupunguzwa kazi, au kuacha kwa sababu za...
  10. lushalila

    Rushwa bado cancer ya taifa letu, hadi NIDA?.

    Wana jamii forum nimepata taarifa kutoka kwenye zoezi la uandikishaji wa vitambulisho vya taifa mkoani Kagera. Kama mnavyojua kule ni mpakani na nchi jirani zipatazo tatu hivyo wahamiaji haramu in wengi mno. Pamoja na taarifa za kuwepo kwa usiri mkubwa kati ya maafsa uhamiaji na...
  11. lushalila

    Msaada kuhusu open university OUT

    Naomba mwenye kujua utaratibu was kujiunga na open university ngazi ya certificates, ada zake pamoja na minimum requirements zake. Specifically certificate in law . Thanks
  12. lushalila

    Msaada kuhusu open university (out)

    Naomba mwenye kuwa na taafifa za chuo kikuu huria Tanzania nikihusisha kozi zitolewazo na ada zake , Specific nikilenga certificate in law , ada zake na minimum qualification,. Thanks
  13. lushalila

    Jinsi ya kupata uwakala wa mitandao ya simu

    Mwenye idea naomba anifahamishe jinsi ya kupata line za uwakala wa simu za mikononi kama vile Tigo pesa, M-Pesa nk. Nisaidieni ------------------
  14. lushalila

    Kupungua kwa wapiga debe stand ya mkoa Ubungo uongozi umefanya jambo zuri

    Leo nimekua pale stand ya mabasi ya mikoani ubungo nimekua kuna upungufu mkubwa wa wapigadebe waliozoeleka kudakia watu na kujifanya wanatoa; Msaada wa watu kupata tiketi. Pamoja na kuwa kwenye msimu wa wasafiri wengi sijaona wapigadebe ambao walikua kero kubwa kwa abilia, Licha ya changamoto...
  15. lushalila

    Masada simu yangu inanisumbua

    Wadau WA jf, kuna kitu kwenye simu kinaandika screen overlay protected, kinazuia apps nyingi kufunguka, nifanyeje nimeshindwa kukiondoa Kwa maelekezo yanayoonyesha Nisaidieni
  16. lushalila

    Binafsi sikuamini Kama Kenya wana maendereo makubwa ya taasisi za utoaji haki kwakiwango hiki.

    Nitakua mnafiki nisiposema nimestaajabu mno, kwa kile kilichotokea Kenya hii Leo, hili ni kwa nchi za kiafrika, inafahamika kwamba sheria huwa ni kwenye maandishi tu, Kama Kenya wamefikia hapo Basi wanastahili pongezi. Tujipange kushindana tuache polojo bila hivyo tutakuja jikuta tumeachwa...
  17. lushalila

    Msaada kwa mjuzi wa sarufi ya kiswahili.

    Naomba kwa mweye kujua au kukumbuka vizuri usahii hapa ni upi,, kati ya nyinyi nyote, na nyinyi wote. Sent using Jamii Forums mobile app
  18. lushalila

    Msaada kuhusu kujiunga na mafunzo ia ualimu

    Naomba mwenye kujua sifa za kusoma chuo cha ualimu ngazi ya cheti, kwa matokeo ya GPA, sababu kwenye guide book za nacte hawajafafanua. Sent using Jamii Forums mobile app
  19. lushalila

    Msaada kujiunga vyuo vya ualimu

    Ndugu sana jamvi naomba mwenye kujua kujiunga vyuo vya ualimu certificate kwa mwaka huu in link na vigezo gani?
  20. lushalila

    Msaada kuhusu bei ya bajaji

    Wana jf naimba mnisaidie kuhusu bajaji ,nataka kufahamu bei zake, upatikanaji wake ,aina zake ,na hata Tabia zake. Na yangu ni kutata kuingia kwenye biashara hiyo. So kama kina mjuzi naomba anisaidie. Bajaji zile za abilia.
Back
Top Bottom