Sasa ESTONIA inaweza kuifanya nini nchi kama Urusi ambayo Ulaya wote na Marekani wameungana wameshindwa?? Nimewahi kufika Estonia mara 3 yaani ni kanchi kadogo mnoo..Kuhusu maendeleo hapa kwetu sisi sio Masikini shida ni Majizi ndio yanatuchelewesha...Tungekua na uongozi imara hata mikufu na...
Watanzania hatujui kabisa kushika Utajiri na kuuusukuma mbele na kurithisha Vizazi unaona Mrema kafa kila kitu kwisha..Watoto wengi wa Matajiri huwa wajinga sana sijui kwanini lakini Wahindi huandaa watoto smart na kuwaachia Mali.
Subash Kwa mfano alikufa mtoto akashika mali mambo...
Ni Kweli siku hizi Mziki hatuna pa kucheza mlikua mnamuita Mbowe DJ nae kaamua kuacha sasa..Wakati Mbowe ni mtu mjanja angetupa vitu vya hatari pale Billicanas
Agiza Balimi Kaka ntalipa mimi..wakupe baridiiiii..Haya manamake majizi ni mengi sanaa..Wanaume tuunganee haya majitu yana ushetani na sisi tudai haki...imetoshaaa
Wanawake wa KIAFRICA GO BACK TO THE ROOTS...acheni mambo ya kipuuzi ya Kuiga...Mke wa Mosha ametajwa kama Mwizi kwenye hiyo Hukumu..amekua akiibia mumewe huyu ni jambazi na mna tabia hizo kuiba na kufanya umalaya mkubwa mkiwa kwenye ndoa mkipigwa utosini mnakimbilia mitandaoni..Kama hutakua na...
Nchi ishauzwa hii usifumbe macho. simtetei Lowasa ila majizi ni Mengi mnoooo...Magufuli alijaribu kuyaondoa akashindwa nani atayaweza haya majizi??? Yanatuona sisi hatuna akili yanadhani yenyewe ndio yana akili iko siku watoto wenu wataona aibu kujiitia majina yenu yatakua yananuka
Sasa kama alikua na Hela angefanyaje?? Mana Lowasa mnamsema alikua Mwizi lakini nani haibi nchi hii?? Watu wanakula mandazi na kuamua umeme February mwisho wa mgao...wakila mandazi tena wanasema ooh March mara June....Nyie watu mmetuumiza sana nchi hii...Magufuli alipokua hai umeme uliwaka miaka...
Hivi yule mlinzi hajakamatwa?? Unapigaje mtu asie na silaha yeyoe anaanguka chini kwenye shuguli za msiba??? Hivi ni lini hawa Polisi wataacha huu ukoloni mkongwe??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.