Mumshukuru njiwa pori kwa kuintroduce lodge za wavuvi zile za buku per night kwenye mialo yenu la sivyo hata maana ya lodge mngekuwa mna Google mpaka leo 😂
Kijana unajua maana ya underpass?
Kama hii ni underpass basi hata nyumba unayoishi ni undershelter
Sijaona barabara iliyopita CHINI YA ARDHI mpaka uite underpass wala hata juu ya hicho unachokiita underpass hakuna treni wala magari wala pedestrians wala ndege inayopita juu ya hiyo structure...
Tunazidi kuwachagiza mje kwa wingi sababu ardhi bado ni kubwa na tunataka serious investors.
Mkija mnatoa ajira, kodi, mnanunua malighafi Tanzania na kuineemesha Tanzania zaidi na ndio maana Tanzania Hakuna tatizo la ajira kama ilivyo kwenu.
Kama dhumuni lako ni kupata pesa ya Kenya yenye thamani kubwa zaidi ni simple tu, chukua pesa zako za kitanzania nenda bureau de change wakupe currency ya Kenya. Done
Tanzania hizo ekari 2k huwa zinamilikiwa na mtu mmoja tena wa kawaida tu, ninyi ni serikali nzima tena msaada wa Israel
Angalia shamba la serikali linaloendeshwa na wananchi pamoja na muwekezaji wakilima ekari zaidi ya 30k za mpunga kumbukeni mchele huko Kenya ni bei mara mbili ya mahindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.