Jipatie simu ya mezani
inayotumia laini ya mtandao wowote ( tigo,voda,airtel,ttcl,zantel,halotel)
Inau wezo wa kutuma message na kupokea, ina alarm pamoja na redio
80000/=
call/watsup 0712326009
Dar free delivared
Mikoani tunatuma kwa gharama za mteja.
1 Bwana Harbinder Singh Seth na wengine
Bunge linaazimia kwamba, TAKUKURU, Jeshi la Polisi na Vyombo vingine husika vya Ulinzi na Usalama, vichukue hatua stahiki kwa mujibu wa sheria za nchi yetu, dhidi ya watu wote waliotajwa na Taarifa Maalumu ya Kamati, kuhusika na vitendo vyote vya kijinai...
Yamenikuta jana nimepaki gari mapema kabisa nimeingia zangu ofisini kufika lunch natoka nakuta gari limefungwa kwa kosa la kuoshwa katikati ya jiji sijamtuma wala kumwambia mtu aoshe yaelekea hawa jamaa wa parking wanakula na hao vijana waoshaji kwakweli muwe makini mpakipo magari maana ni...
Baraza la maadili ya utumishi wa umma limeshindwa kumuhoji Mh Endrew Chenge baada kuwasilisha zuio la mahakama kuu lililozua kutokuendelea kujadili miamala ya Escrow huku wanasheria wa sekretarieti ya baraza hilo wakipingana naye kwa madai kuwa wao wanajadili ukiukwaji wa maadili na siyo miamala...
Imetokea jana kwene duka linalotoa huduma za mpesa na tigo pesa maeneo ya mwenge kuna wahindi walikuja kutaka kutoa pesa kwene simu wakajifanya kwamba ni wageni Tanzania hawazifahamu pesa za Tanzania wakaomba kuona 10000 na 5000 baada ya kuziona wakasema wanataka kutoa milioni 1 ila kabla...
Kwa ufupi
Taarifa iliyotolewa naMeneja Uhusiano wa kampuni hiyo, Larry Makala ilisema kuwa Elvis Kamanyilealiyetajwa kuwa mkurugenzi wa kampuni hiyo, hana uhusiano wa moja kwa mojakatika shughuli za utendaji wa kila siku wa kampuni hiyo.
Dar es Salaam.Kampuni ya Uwakala wa Ajira chini ya...
Hivi hii Biashara ya TelexFree Ndio ikojoe? ,Najiuliza sana zamani Watu walikuwa wananiconvice niingie Forever Living ..ila sikuingia lakini marafiki zangu wengi waliingia na wote hakuna aliye faidika na kuwa tajiri kama walivyokuwa wakihadithia kwenye Semina zao....Naona sasa imekuja hii Telex...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.