Search results

  1. birungi

    Network Support Technician vacancy at MSNET FIBRE

    VACANCIES @MSNET FIBRE Work Role: NETWORK SUPPORT TECHNICIAN Workstation: UBUNGO Posts: 2 KIGAMBONI Posts 2 UKONGA Posts 2 Start Date: 1st SEPTEMBER 2022 Purpose of Role The purpose of the role is to oversee all WAN/LAN Outdoor and Indoor Network related services. Emphasis will be on Tower...
  2. birungi

    Plot4Sale Kiwanja Tabata Mawenzi kinauzwa

    Sawa nitafanyia kazi mawazo yako mkuu.
  3. birungi

    Plot4Sale Kiwanja Tabata Mawenzi kinauzwa

    Ni Tabata mawenzi ya upande wa kushoto kama unatoka mjini. Mtaa wa amani kabla hujafika kanisa la mabati. Karibu
  4. birungi

    Plot4Sale Kiwanja Tabata Mawenzi kinauzwa

    Kiwanja kizuri na kikubwa kinauzwa Tabata. Bei mil 11 Ukubwa ni 30*30 Huduma zote zipo maji na umeme. Mita chache kutoka barabara kuu ya mawenzi. *ardhi ina mchanga mwingi utapata was kujengea hapohapo Hakina Dalali Mimi ni ndugu wa mmiliki * kinauzwa kwa shida Luna mgonjwa anahitaji matibabu...
  5. birungi

    Ajali ya Meli: Picha ya meli na utata uliojitokeza

    ni kweli kwa picha inaonekana iliyozama sio spice islander,ni trans asia. nachoweza kushawishika hapa labda spice islander ni kampuni ya trans asia shipping,hivyo walikuja kuweka chata hiyo baadae.
  6. birungi

    Ukiwahiwa unafanya kazi!

    kushonwa sawa umeshonwa je unafanya kazi yake ipasavyo
  7. birungi

    Ukimfumania Mke au Mumeo utafanya nini?

    cha kwanza ntajua mimi ndo mwenye mapungufu na huenda nimepelekea yeye kufanya hivyo,kwa hiyo nitahitaji anambie ninakosea wapi ili nirekebishe na anihakikishie hatarudia tena.
  8. birungi

    Gone Too Soon: RIP JF Member.....Chetuntu!!!

    Oooh my LORD!!! kweli kifo hakina huruma. Mungu amlaze mahali pema peponi,na aipe faraja familia katika kipindi hiki cha majonzi.
  9. birungi

    Amerudi

    karibu
  10. birungi

    job interview

    ni kazi gani? jua nusu ya maswali yanarelate na kazi unayoomba na pia vision za kampuni.
  11. birungi

    Je, ni sahihi mpenzi wako kufahamu kipato chako unachokipata?

    kama hujahitaji msaada jamani atachangia, nahisi atafanya lile analoona ni jukumu lake
  12. birungi

    Amerudi

    namba yako ya ushiriki itakua sitini na tano. utakaa meza ya tatu karibu kabisa na eneo la tukio
  13. birungi

    Amerudi

    hahahaha,bora wewe sio mvivu wa kusoma,kumbe umeona kila kitu....big up NN sio ana ugonjwa bali ingekua ni habari imeanza kwa fun angesoma hadi mwisho
  14. birungi

    Amerudi

    wapi babu jamani,,,,,
  15. birungi

    Amerudi

    asante, hutahitaji namba ya ushiriki? au hutaki ushahidi
  16. birungi

    Amerudi

    katika mihangahiko ya maisha, la haula akapata na habari mpya
  17. birungi

    Amerudi

    asante mwaya
  18. birungi

    Amerudi

    baada ya kimya kingi sasa amerudi alikua na kazi nyingi,ukweli mda haukuzidi kama ujuavyo kimya kingi kina mshindo mkuu birungi tena nimerudi, na habari nzito zilizo kuu. katika pitapita zangu,mengi nimeyaona nkafanya tafiti zangu,vidogo na vilivyonona nkaona moja liwe langu,isije baadae...
  19. birungi

    What attracts women to older men?

    Unajua wababa wazima wanajua sana kubembeleza si kama vijana wa kisasa.kwa msichana anaependa kudeka akimpata mtu mzima huyu atafall hata kama hana pesa. na upande wa pili wa shilingi ni kweli wanaangalia pesa kwa m-baba mtu mzima. ukieleza shida yako kabla hujamaliza utaulizwa ni sh ngapi...
Back
Top Bottom