VACANCIES @MSNET FIBRE
Work Role: NETWORK SUPPORT TECHNICIAN
Workstation: UBUNGO
Posts: 2
KIGAMBONI
Posts 2
UKONGA
Posts 2
Start Date: 1st SEPTEMBER 2022
Purpose of Role
The purpose of the role is to oversee all WAN/LAN Outdoor and Indoor Network related services. Emphasis will be on Tower...
Kiwanja kizuri na kikubwa kinauzwa Tabata. Bei mil 11
Ukubwa ni 30*30
Huduma zote zipo maji na umeme.
Mita chache kutoka barabara kuu ya mawenzi.
*ardhi ina mchanga mwingi utapata was kujengea hapohapo
Hakina Dalali Mimi ni ndugu wa mmiliki
* kinauzwa kwa shida Luna mgonjwa anahitaji matibabu...
ni kweli kwa picha inaonekana iliyozama sio spice islander,ni trans asia.
nachoweza kushawishika hapa labda spice islander ni kampuni ya trans asia shipping,hivyo walikuja kuweka chata hiyo baadae.
cha kwanza ntajua mimi ndo mwenye mapungufu na huenda nimepelekea yeye kufanya hivyo,kwa hiyo nitahitaji anambie ninakosea wapi ili nirekebishe na anihakikishie hatarudia tena.
baada ya kimya kingi sasa amerudi
alikua na kazi nyingi,ukweli mda haukuzidi
kama ujuavyo kimya kingi kina mshindo mkuu
birungi tena nimerudi, na habari nzito zilizo kuu.
katika pitapita zangu,mengi nimeyaona
nkafanya tafiti zangu,vidogo na vilivyonona
nkaona moja liwe langu,isije baadae...
Unajua wababa wazima wanajua sana kubembeleza si kama vijana wa kisasa.kwa msichana anaependa kudeka akimpata mtu mzima huyu atafall hata kama hana pesa.
na upande wa pili wa shilingi ni kweli wanaangalia pesa kwa m-baba mtu mzima. ukieleza shida yako kabla hujamaliza utaulizwa ni sh ngapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.