Uoga wetu na kujidai hatumaindi vitu vidogo ndo umetufikisha hapa tulipo, "kwani jero kitu gani?" Hatujui nini maana ya thamani. Hata ukisimama kutetea haki yako utasikia "Aaarhg! mwacheni njaa tu zinamsumbua huyo." tulipanda wenyewe wsas tunalalamika nini wakati wa Mavuno? acheni wafanye...
Nilikuwa naangalia Tv na kucheki vurugu za temeke. Polisi wamemkamata mshkaji na jamaa akawa mtii kama kondoo wa sadaka na alipoikaribia defenda polisi akampiga buti jamaa akaanguka chini. Alipoingia ndani ya defenda kama vile hatoshi polisi wakawa wanamshindilia chini. Je hii ni sawa wadau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.