Kazi yake alikuwa Rep. Fincher's Communications Director.kwa maneno hayo tu kwa watoto wa Obama alisakamwa na akajiuzulu. hayo nadhani yanaweza kuwa 1/1000 ya kashfa ya 'Eskro'.
Mh! Mtakumbuka mengi juu ya mtumishi wa Mungu ambaye yeye kamaliza kazi aliyotumwa na Muumba wakae hapa duniani. Ametumika alivyotumika. Atoaye hukumu ni Muumba wake ambaye ni wetu pia. Jipange na wewe ili ikipendeza umalize kazi yako vizuri kama anavyopenda Mungu kuwa sote tusipotee bali tuwe...
Pole ndugu yangu. Hukufanikiwa kumfahamu Bishop Mhogolo.
Umeingia katika mtego wa wale waliomchukia na kumlisha maneno ambayo hakusema ili kuwafanya wafuasi pamoja na wewe, wamchukie na kumwondoa ili waingie katika nafasi hiyo. Kuhusu USHOGA alichosema kwa BBC alipohojiwa ni kuwa "Ushoga ni...
Vyama visivyo na Nguvu ya kutikisa na kukisumbua chama chetu cha mapinduzi ndicho cha kukisifia. Hicho cha CHADEMA lazima tukiponde kama ndugu yangu Lukosi anavyofanya kila anapozungumzia CHADEMA. Vyama vinavyotarajiwa hapo mbeleni kuchukua dola according to Bw Lukosi ni NCCR Mageuzi, TLP, PPT...
[Yaani Ccm ife! Chadema iwe haijazikwa turn? Ccm tunashuhudia kifo na mazishi ya chadema
. Ccm ndio Baba la siasa. Tulieni mjifunze, acheni kulia.)
Usijidandanye ndugu yangu.
KANU ya Kenya iko wapi?
UNIP ya zambia iko wapi?
Chama cha Obote kiko wapi?
Chama cha Kamuzu banda kiko wapi?
Chama cha...
Angalia tathmini fupi ya uchaguzi wa kata 26
(kwa niaba ya Mtu wa Shamba)
Kata zilizokuwa wazi 26
Unyakuzi
CCM wamenyakua kata 16
CDM wamenyakua kata 10
CUF wamenyakua kata 0
TLP wamenyakua kata 0
Msimamo kabla uchaguzi haujafanyika
CCM walikuwa na kata 19
CDM walikuwa na kata 5
CUF...
CCM hatujaongeza kitu. Tumepoteza kata tano kwa CHADEMA na kupata mbili zilizokuwa za CUF na TLP, bado hatuna kata tatu kulinganisha na tulizokuwa nazo awali yaani kumi na tisa. Mtasemaje tumeongeza mbili?
By masopakyindi
Na mimi nimemsikia huyu dogo.
Kujifanamisha hata kwa ulinganishi tu na uwezo wa Mwenyezi Mungu ni kufuru itakayomfuata kokote aendako.
Namshauri abadilishe maana ya usemi wake Mungu asijekupata wivu, Naye alikwisha kusema Yeye ni Mungu wa wivu.
Hapo ni wenye akili tu...
Huyo mtoto anatafuta kutambulika tu kanisani. Alichosema juu ya Freemason ni uongo na hadithi ya kufikirika ili Wachovu wa kufikiri yaani wale waliokaa kanisani wakisubiri isemwe bwana asifiwe, nao wapige kelele za amen. Jamani someni Habari za watu hao wanaoitwa Freemason katika maandiko, yako...
Asante sana kwa mwanzisha thread hii, imekuwa ya manufaa sana kwangu kwani swala la OD katika gari ya automatic lilikuwa linanisumbua sana. Sikujua kuwa nikiliweka kwa great thinkers litapata ufumbuzi. Thank you so much.
Naunga mkono uamuzi wa uongozi wa CBE juu ya kuzuia nguo za kubana na kuonyesha viungo kwa wanafunzi wa hata hivyo na mavazi kwa baadhi ya vijana wa Kiume yaangaliwe pia, hayafai.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.