Huyu jamaa sidhani Kama ni tapeli Kuna code yake aliipost Jana Ile aliyokula m8 nilitembea nayo nikala sema stake zake ni kubwa mno ukimfuata unaweza kushusha brand ya familia... Stake what you can afford to lose [emoji119] wanaosema tapeli ni wale wauza odds soko limeshuka
Hata kama wana wengi wanasema betpawa kaminya odds ila bado ni better sana hata transaction zinafanyika kwa haraka na kwa urahisi zaidi betpawa is the best huko kwingine tunayumbishwa tu hamna kipya[emoji1696]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.