Matokeo yangu ya fom 4,ni B+nne za math,eng,kisw,bios na B plane zote za masom yaliyo baki.na nimepata gpa ya 3.6 na ninapenda PCM je naweza kupelekwa shule gan kat ya hiz ambazo ndzo nilizo chagua?.
Ilboru, Kibaha, Mzumbe, Minaki na Tosamaganga.
Naomba msaada wenu.
nimepata mathB+,PHY"B",CHEM "B",BIO"B+",GEO "B",KISW"B+",ENG"B+",HIS"B",CIVIC"C, na nina gpa ya 3.6, na nilichagua shule za kibaha,iliboru,minaki,mzumbe,na tosamaganga, nataka kuxoma PCM je watanichagua xhule ip naomba majb!
jaman wenye uelewa naomba ufafanuzi, mm nimehtm kidato cha nne mwakajana na matokeo yangu ni kama ifuatavyo math~B+,phy~B,chem~B,geog~B,bios~B+,engB+,His~B,Kisw B+,civi~C na nina distinction ya 3.6 shule nilizochagua ni kibaha,iliboru,mzumbe,minaki,tosamaganga. je naweza kuchaguliwa shule ipi...
sikia hi,wazir mmoja anaye huxika na mambo ya mifugo alitembelea kituo cha kufugia nyuki,akamkuta mlinz wa kituo kile, mlinz akamkazia kuingia, wazr akaxema"we unanikatalia kuingia umu unanijua mi ni nan?"wazr akatoa kitambulixho akamuonyexha yule mlnz, mlnz alivo ona kwa upole akamruhuxu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.