Ni ya TATA group ambayo mmiliki ni Ratan Tata mhindi. Huyu mhindi taarifa inasemekana angekuwa mmoja kati ya watu matajiri sana labda hata wa kwanza ila faida kubwa ya kampuni yake inatumika katika kufund shughuli za kijamii dunianj kama elimu, afya n.k duniani na yeye mapato anayochumiliki ni...
Inawezekana lakini kukubalika kwa watu wote si rahisi.
Hivi mguu unajua like vazi la asili la wanawake wa kiganda linaitwa guma kumbe alilibuni mzungu kama uniform ya wanafunzi wa shule aliyokuwa akiiongoza enzi za ukoloni
Kwani michael jordan ni mweupe kama elon? Mimi namwowngelea elon musk mweupe yule na haijawahi kuwa proud kuwa ni mwafrika. Anaji refer zaidi being Canadian kuliko hata usouth african.
Ni kweli alisema hivyo na ndio maana akasema alikuwa anamwini sana hussein mwinyi na ndio maana kwenye awamu yake ya kwanza akamfanya kuwa waziri wa ulinzi. Ilikuwa kwenye mkutano wa ccm.
Hata mimi nlitaka kusema hivi ila ikabidi nikae kimya. Haiwezekani kutengeneza hata dollar 400 kwa mwaka mzima huko. Tasks zake zina ela ndogo sana kama mtu anavyoona hapo. Ila ni vile watu wanataka earn via referrals walau wapate kidogo cha kutoa
Mkuu chatgpt ni LLM hata ikiandika kweli ukaiambia umekosea itakubali na kuapologize hili ni jambo nalishuhudia kila siku napokuwa naitumia.
Halafu pia chatgpt inajifanya sometimes kujibh kila swali kumbe inakupeleka chaka. Kuna articles nilikuwa naziandika so naitumia initaftie relevant...
Acha ubwege.... Kakurudia kwa sababu katendwa maana yake asingetendwa asingekurudia. Tafsiri ni kwamba, plan A imemkimbia wewe kwake ni plan B siku akioata tena plan A atakutosa. Eti umwache huyo mjamzito, kwa kosa gani? Kwenye mapenzi sometimes tumia akili sio hisia utaumia. Kama waona inakuuma...
Sheikh Maktoum inaelekea ni jamaa simple sana. Hata mwezi uliopita ghafla akaingia mgahawani watu wanakula basi full kuomba selfie na jamaa wala hana noma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.