Mambo ya ngoswe aachiwe ngoswe, dada mzuri waache vijana wa shekilango watakujeruhi kwa maneno,
naona wanabishana na ukweli, sasa sijui wanataka uanze kuwatajia ndugu wa mwamvita aliyeko huko
au kaka yake aliyebaki hapa ili wajue unajua kuwa mwamvita ni mtanzania na chori.
CC: CHOMBA...
Sasa huo mkutano ulikuwa ni wa kuwaambia Watz ukweli ama? Sasa kulala kwetu si ndio faida kwao! Sidhani kama huyo jamaa anaipenda Tz kiivo mpaka atuambie ukweli, kana kwamba anataka tuchangamke tuinuke ili tuendelee kama wao au hata kuwazidi. Halafu mwisho wa siku iweje? Hizi ni kauli za wivu...
Ni kweli mfalmee. Watu wanachangia kishabikiii. Nani asiyekosea humu? Watu mnajiona kama malaika. Tuache izo, kisa wewe mpinzani upo humu kuiponda CCM. Unakosoa utafikiri wewe ndo mwanzilishi wa hiyo lugha! We umeisoma tu kama huyo alieandika na hata hao Wakenya maf@l@... shw@ini
we ni mjinga kama sio punguani. Kwani huyo aliyekupeleka wewe ukapate dawa, alikupa hayo masharti unayotuletea hapa? Tabia za kiswahili hizo. Kwani huyo mtaalam alikwambia dawa zake ni kwa wale wasio wagumba? Pili, wewe kuwa msemaji wa huyo mganga, ni ridhaa yake? Ama kweli maskini akipata...
Makala Jr, sio lazima usipoota leo kesho huwezi kuota. Aliposema hakuwa na ndoto ya Urais si kwamba hawezi kuiota. Mambo hubadilika na hata wewe usichokipenda leo kesho unaweza kukipenda, inategemea tu ni ushawishi gani umeupata na pia mabadiliko ya wakati mzee. Tusiwe na mawazo mgando bana....
Hata mimi nakuunga mkono ndgu, hebu tiache uoga, kwani bila ya wao hatuwezi endelea? Rasilimali tunazo nyingi sana hata bila ya huo umoja. Wivu umewajaa tu hao kuona mataifa makubwa yana interest na sisi. Kikubwa tujipange tu wenyewe na sera nzuri ili hata wanakuja nasi tufaidike
Timing usitegemee "new move" kuwa na mafanikio wakati old move hazifanyi kazi. We unafikiri hiyo bandari mpya itaendeshwa na nani tofauti na hizi za zamani zilizopo? Maendeleo sio kama mchezo wa kununua nguo mpya pale inapochanika ya zamani.. Hiyo mpya haitokuwa na maajabu ili ilete mabadiliko...
Mkuu Fisi2 nashukuru kwa majibu yako uliyoyaleta hapa ingawa mimi nabaki na maswali mengi kichwani..
Hivi gharama za ujenzi wa bandari mpya unaweza ukawa chini ya upanuzi wa bandari iliyopo? (Bagamoyo vs Tanga)
Pili unataka kuniambia kuwa Bagmoyo iko vizuri kimiundo mbinu zaidi ya Tanga? Tena...
Sasa mjomba, umekuja tusimulia clip ile au ulitaka tuonyesha nini hasa? Huo utaalamu ulioutumia mbona hujasema ni upi zaidi ya kutuwekea dakika za vipengele vya ile clip ???
Au nawewe ulishiriki ktk kuandaa hiyo filamu? Hebu tuambie mna lengo gani na kwa manufaa ya nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.