Habari wakuu!
Nimepata majanga simu zangu zimeharibika zote kwa wakati mmoja yaani zimepishana kwa masaa tu.
Infinix S2 Pro imevimba battery,Samsung J3 Prime imekata moto ghafla.Infinix nimeipeleka service center yao battery wanasema hawana nisubiri 2weeks Samsung mafundi wanasema imekufa...
Nimeipenda sana No 9.sasa unaruhusiwa kujisaidia haja kubwa na ndogo popote unapotaka ktk jiji la Dar es Salaam maana makosa hayo kisheria hayana faini....
Jionee mwenyewe hapo chini[emoji116] [emoji116] [emoji116]
Enjoy your life!!!
Habari wakuu,naomba kusaidiwa hili tatizo kwenye simu Samsung Galaxy Note3 imeanza huu mchezo tangu juzi.inatokea hivi kila nikifungua Play store,msaada wenu tafadhali.
Kila tutendalo duniani iwe ni kwa haki/sii kwa haki lazima tujue hakuna aijuaye kesho yake inafafanaje!!!kama hawa wawili,kipindi wana-sign makaratasi ili kupiga{sihukumu ila ndivyo wanavyosomewa huko mahakamani}na kisha kwenda kuishi kama malaika hapa kwenye mgongo wa nchi hapana hata mmoja wao...
Kifurushi changu kimeisha sasa nataka nitumie flash kwenye king'amuzi but movie hazichezi.sasa nataka kujua hadi niwe na kifurushi ndo niweze pia kutumia USB kwenye hiki king'amuzi au kuna sehem nakosea?maana files naziona mtihani kuzi-play.msaada wakuu
Wakuu naomba mwenye ufaham wa hizi speakers anifafanuliehizi hazina kishimo[emoji115] .hizi zina kishimo.
Zote ni 50Watts,je zina utofauti wowote kwenye ufanyaji kazi wake?pia ni zipi bora zaidi?asante
Hapa ninapoishi jirani kuna ki-dispensary kinachotoa huduma ndogo ndogo kama kupima malaria UTI etc,muda sio mrefu kuna mtoto alikuwa anapatiwa huduma{nahisi kuchomwa sindano}sasa wakati zoezi hilo likiendelea huyu mtoto ambaye kwa kumkadiria nahisi hata miaka mitano bado hajafikisha kwa ile...
Habari za weekend wakuu,naomba kwa anayejua anielekeze zilipo office za shirika la bima ya afya NHIF kwa Dar es salaam,nasikia ziko Mwenge itafaa nikiambiwa kwamba ziko mtaa gani hasa.nawasilisha
Simu yangu Infinix S2 Pro nimeruhusu "developer options" nikaivuruga hapa[emoji116]
Nika-select off ktk hizi sehemu tatu kama hivi[emoji116]
Naona simu imekuwa na speed kweli kweli sasa wakuu kwa hivi kifaa changu hakiwezi kupata damage yoyote?nawasilisha!
Habari iliyotufikia hiv punde... Basi lenye namba za usajili 'T 767 BWK' kampuni ya Ngorika linalosafirisha abiria kutoka Arusha kwenda Dar,Dar kwenda Arusha lililokuwa linatokea Arusha kwenda Dar lilikua limebeba abiria 71 wanaume 43 wanawake 28 lilokua linaendeshwa na dereva Amosi John...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.