Kiimani kila mmoja anawajibika kwa anayoyatenda,huyu anapenda dhambi ile yule anaichukia,kuwa Mkatoliki hakumuondolei mtu kuwa na avipendavyo au kukengeuka.
Kanisa Katoliki siyo la mtu mmoja kiasi kwamba hata akitenda jambo lionekane litayagusa maisha ya waamini wenzake moja kwa moja,kama...
Ni kweli siyo la kukataa hilo,watumiaji wengi wa simu Tanzania tunapenda kuzitumia ki-star star (ndiyo ushamba wenyewe huo)
Nina jamaa yangu anamiliki yard ya magari pale Manzese Tip Top simu anayotumia ni Tecno siyo kwamba uwezo wa kununua simu kubwa na ya gharama hana ni nadhani hajataka tu.
Ktk hiyo post kwenye comment kuna huyu jamaa nahisi ametoa jibu moja matata sana,mimi naongeza pia akuonyeshe cheti cha usajili vifo anaweza akabuni kaburi lolote akakupoteza
Ukweli ndiyo huo.
Hata kwenye tenda za serikali wakiwa kwenye vikao vyao vya kuzipitisha baada ya kujua percent yao swali lingine huwa una kadi ya chama gani?j Jichanganye sema huna au taja chama kingine usiponyang’anywa na tenda yenyewe.
Jirani yangu nyumba ya tatu kutoka kwangu ni mjumbe wa shina,ilitokea offer ya dawasa kutembelea shina lake kwa ajili ya kuangalia na kuwafikia wahitaji wa maji.
Siku hiyo nipo kazini wife akanipigia akisema mjumbe anauliza wewe chama gani,Inner voice ikaniambia sema CCM kesho yake pick up ya...
Ikishakuwa mapenzi kama unaamini uwepo wa Mungu inabidi ujue hicho ni kitu chema alichowajaalia baadhi ya watu so still kama hauna ndoa unakuwa unafanya ngono.
Inatisha.
Na wengine hufikia kufanya hivyo just kuwafurahisha mabwana zao ambao hawana hata lengo la kuwaoa,ni kusema wanajitia ubovu siku akijichanganya kijana innocent hajui lolote anabeba zigo miaka 15 hata mimba ya kusingiziwa hamna.
Ukiitizama hiyo video vizuri utagundua huyo hamas alikuwa na chance ya kumletea madhara huyo Mzayuni ila alikosea alipoenda kuanzia shingoni kufanya kilichompeleka pale,angeanzia kwenye mbavu saizi tunaongea mengine.
Mwanajeshi nae baada ya kugombelezewa na kukaa sawa akawaambia wale...
Hapo jamaa alikuwa ana-shout alahu akibaru alahu akibaru akijua ameshafunga hesabu mapema saa nne asubuhi za kwenda kupokea bikra zake 72 zenye macho makubwa kama vikombe.
Unatufokea sana ambia hiyo pimbi yako iliyokuzalisha taratibu kwenye message usitupigie kelele tusiohusika.
Unajifanya kusema unazo zako lakini ukweli wewe una-sound kama mtu asiye hata na mia mbovu ya akiba.
Sijui ndiyo sijielewi ila hiyo kwenye bold siku naiangalia niliiona kama Shumileta tu.
”Drag me to hell” ile part I ndiyo kali sana part II walichemka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.