Search results

  1. DCONSCIOUS

    Nini kimemtokea Tundu Lissu kwa kubadili jina la Dikteta Uchwara na sasa anaita Mtukufu Rais?

    Anatamka Tundu Antipas Lissu, "Mwaka 1978 Mwalimu Nyerere alihojiwa na BBC ambapo alisema alikuwa na mamlaka, kwa mujibu wa Katiba na sheria za wakati huo, ya kuwa dikteta. Mwalimu alikuwa sahihi: kikatiba na kisheria he'd almost unlimited powers and unaccountable to anybody by law. Rais...
  2. DCONSCIOUS

    Kigwangalla: Katibu Mkuu wa CHADEMA ana kashfa ya kuongoza migomo ya madaktari Tanzania

    Msomi mzima tena Daktari anajenga hoja kwa mambo ambayo hana uhakika nayo! inatia aibu....sina hakika kama alimaliza masomo ya Ubingwa maana alinyanyaswa na Supervisor wake, akasusa akaamua kujiunga masomo ya MBA, na sina hakika sana kuhusu 'msimamo usiotetereka'.
  3. DCONSCIOUS

    Shahidi: Kubenea alimwambia DC Makonda ni kibaka, mpumbavu, mjinga

    Ndio tatizo lenu wanachama wa chama cha majipu (ccm) akili zenu mnaziacha nyumbani mkiwa mnaenda ofisini lumumba..matokeo yake mnaandika mushudu
  4. DCONSCIOUS

    LUBUVA: Walioshindwa kwenye uchaguzi waache kujitangaza kuwa walishinda

    Lubuva nalo jipu ndani ya chama cha majipu (ccm)
  5. DCONSCIOUS

    Freeman Mbowe atangaza Baraza la Mawaziri Vivuli

    Chama cha majipu (ccm) mnakazi sana
  6. DCONSCIOUS

    Zitto: Mbowe ni Kiongozi wangu, Tusameheane

    Zitto amuangukia mbowe akili nikiongozi wake mda wote, akiri alikosea.
  7. DCONSCIOUS

    Hatimaye Zitto Kabwe akaa meza moja na UKAWA

    Akili fupi km mkia wa sungura
  8. DCONSCIOUS

    CHADEMA haina Afisa Habari au Katibu Mwenezi?

    hata mtei hawezi n'gan'gania chama ivyo... c uhamie ccm au act tu? Au chadema ndio iliokutafutia mme?
  9. DCONSCIOUS

    Lowassa ni nani CHADEMA?

    Kama unatafuta mme mwenye cheo mimi nnacho
  10. DCONSCIOUS

    Uchaguzi wa Meya Ilala: CCM wasusa na kutoka nje, wapata kura 0 na UKAWA 31

    Ajabu na kwl CCM wamepata kura 0 uchaguz wa meya na naibu meya Ilala.. hii ni aibu kwa chama kikongwe.kukimbia uchaguzi na kupata sifuri aka yai
  11. DCONSCIOUS

    Uchaguzi wa Meya Ilala: CCM wasusa na kutoka nje, wapata kura 0 na UKAWA 31

    Ajabu na kweli CCM wamepata kura 0 uchaguzi wa Meya na Naibu Meya Ilala. Hii ni aibu kwa chama kikongwe kukimbia uchaguzi na kupata sifuri.
  12. DCONSCIOUS

    Uchaguzi wa Meya Ilala: CCM wasusa na kutoka nje, wapata kura 0 na UKAWA 31

    Ajabu na kweli CCM wamepata kura 0 uchaguzi wa Meya na Naibu Meya Ilala.Hii ni aibu kwa chama kikongwe kukimbia uchaguzi na kupata sifuri.
  13. DCONSCIOUS

    Mbinu ya CCM kwenye kesi za uchaguzi

    Utanikumbuka.
  14. DCONSCIOUS

    CHADEMA kumshitaki Mkumbo mahakamani

    kati ya ulio wataja niyupi mwenye kadi ya chedema? Pia Hao wabunge wapya wangeenda gombea ccm au act wasiko pelekeshana
  15. DCONSCIOUS

    Mbinu ya CCM kwenye kesi za uchaguzi

    Utanikumbuka
  16. DCONSCIOUS

    Mbinu ya CCM kwenye kesi za uchaguzi

    Msije mkafurahia mkisikia mbunge fulani wa CHADEMA ameshinda kesi aliyoshitakiwa na aliyekuwa mgombea fulani wa CCM. Hii ni mbinu ambayo huwa inatumika na CCM miaka mingi kuuibia upinzani. NINI HUFANYIKA? Katika chaguzi CCM huiba sana kura na muda mwingine humtangaza mshindi hata ambae...
Back
Top Bottom