naomba kama kuna mtu anamfahamu mwanadada anayeitwa farida au kama mwenyewe ni mwanachama humu anipm tafadhali ni muhimu sana.Anafanya biashara kati ya China na Bangkok kama sikosei ni biashara ya computer n.k,anaishi maeneo ya kndoni Muslim
unakuta uko na uhusiano na mtu wa muda mrefu sana na siku zote haonyeshi kama anauhitaji huo uhusiano,ila anaponusa kuwa kuna dalili ya kuachwa anaanza kuonyesha mbwembwe za kila aina na kufanya yale uliyokuwa ukiyahitaji mwanzoni,ni uoga au alikuwa anakujaribu.
Kuna baadhi ya wanaume tena wengine wababa wazima wakuwa na wajukuu majumbani wakiwa sehemu zenye watu wengi bila kujali mazingira au watu aliokaa nao wanaheshimiana vipi,akishaona wanawake anaanza kuhadithia namna anavyojua kudoo.ni kwamba mnatafuta sifa tuu au mnataka waje wawajaribu?
Kuna mmke anaiba mme wa mtu na kamganda mwenye mme kwa urafiki wa kinafiki kiasi kwamba mwenye mke kamuamini mno mpaka inatia huzuni,na hawa wote ni WATZ hivi rohoni unajisikiaje kwa ushetani huu,umepora mpaka haki ya msingi ya mtu kufurahia mume kutimiza miaka 50 kwa kumrubuni huyu mbaba kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.