He ! labda nipate kyupa hapa...............
Watanzania wanahitaji kujua kesho kuna nini !!!!!!!
Nani anasema nini, kwa manufaa ya wale walio wengi (wanyonge).
Katika ngazi zenu tofauti tofauti katika kadhia hii,wekeni mbele maslahi ya Mtanzania,
Have a nice day.
Ngoja ntafikiria baadaye..... Lakini nahisi hapa, kuna mbumbumbu anajaribu kutekenyatekenya jambo la msingi......Kuchanganya dini na siasa..................... Kibaya zaidi ,Most of the human race are not wise enough to discover,how BEST to approach the two controversial foes........
Mwana JF...
THEY CAN JUST AS WELL ,DO US A FAVOUR BY DROPING DEAD,FOR ALL I CARE.....Waache waende zao huko,wakabebe zege.........TO HELL WITH THEM........Hapa heshima ya mtu,itatokana na huduma yake kwa jamii.
Tutajisomea wenyewe notisi hizi na zile,afu Tutajitibu wenyewe .........kama atakosekana...
.......... Punguzeni Tabia ya kujiombea migao peke yenu ....... Haijatulia Tabia hiyo !
Hata sie wakulima na wafugaji ni wananchi kama nyie.
Labda mmoja wenu,angeropoka ili na sie tulio vijijini,tunufaike na posho AU HATA MSAADA yenye uzani wa angalau 50,000.00 TSHS PER HEAD !!!!!!!
Mi napita hapa Kimya .....Leo sisemi....Nasubiri hapa Hospitali,Ninapougua bila Kupata the neccesary attention !!!!!!!!
Nitakapokuwa nimeshakufa,I will be back A hundred years latter to accuse you ...........Kwa kutonipa matibabu nilipokuwa ninaumwa,kwa Kukalia tu Politike...........Kazi...
Kihiyo !............................. The word sounds really marvelous !!!!
Inawezekana una vyeti graded bla bla bla........Labda you attended some bloody courses and got awarded accordingly.......... Lakini from your hojas, I can obsverve immaturity ,kutoelimika vyema,inferiority...
Big up mkuu ....... hasa ukizingatia ,Kukubali tofauti zetu ktk sura za kidini,makabila makabila,sehemu tutokapo(tulipozaliwa),ushabiki tu mfano mipira ,ukiwamo ule wa kiitikadi ,Ndiyo Nguzo kuu ya msingi kabisa,iliyopelekea
Udumishaji wa amani na utulivu(uliodumu sana tu .......ambao ,dalili...
KWA MWENENDO HUU HAPO KOMREDI KUNDECHA (BAKWATA ?)(HAUMSOMEKI KABISAAAAA KTK ADHIMA NZIMA YA TANZANIA SONGA MBEEELEEEE !!!!!!!
........ KWA KWELI INALETA HUZUNI ZAIDI,HUSUSANI UKIZINGATIA NAWE NI BINADAMU !!!!!!!!
HAYO YOTE MNAYOYASHABIKIA IKIWAMO UDINI,UKABILA,UCHU WA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.