Almost watu milioni moja walishindwa kupiga kura as their names dissappeared from the voters register.Hata Membe has said the election was free but questionable fair.
How were you elected vice chair of such a big organisation when you are so poor in constructing something of substance.Lugha unayotumia tumeizoea kutoka kwa kina Nape,Lusinde,Nchemba et al.Nadhani una washauri wabovu.You are already destined to the political dustbin with this.Soma habari za...
Seriously wewe ni katibu mwenezi wa CCM?Why talking rubbish na mnajua chaguzi zote mnazoshiriki Tanzania ni rushwa,ngono na vurugu tupu.Usijaribu kulinganisha chaguzi za mareekani na TZ.I am sure hukupata baraka za your bosses kuandika huu uchafu ingawa nao thinking yao finyu.
Ukweli ni kwamba nchi nyingi zinasaidiwa na wahisani ambao wananunua hizo ARVs.Huwa kuna mikataba na hizo serikali.Nadhani Botswana walikuwa wananunua wenyewe.Ni ghali sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.