Habari wadau,
Kuna wawekezaji wanataka kuwekeza Tanzania au popote Africa katika sekta ya nishati, je ninaweza kupata wahusika au kama kuna wadau humu tufanye kazi?
Wadau naomba msaada kama kuna mtu yeyote ameiona mahali leseni ya udereva namba 4000549027 anisaidie niipate, namba yangu ya simu ni 0679663661,naomba msaada.
Wanajamvi habari zenu?
Naomba kuleta kwenu taarifa hii ya kupotelewa na leseni yangu ya udereva namba 4000549027.
Ninaomba mdau yeyote kama ataiona mahali anipigie namba 0679663661 ili anisaidie niipate leseni hiyo.
Natanguliza shukrani zangu.
Hali zenu wadau naomba kuuliza wapi nitapata korosho zilizibanguliwa kwa wingi, nahitaji kununua kwa wingi, kama kuna mhusika au anafahamu wapi zinapatikana naomba anijulishe
Wadau,
Mimi naomba kuuliza, hii nchi yetu ina maraisi wastaafu na mawaziri wakuu wastaafu na wengine ni wanadiplomasia wazuri tu, hivi hakuna utaratibu wa kushauriana na kumshauri Rais kama mambo yanaonekana yanakwenda ndivyo sivyo??
Ni lazima tufahamu kuwa ukubwa wa muembe unatokana na kokwa...
Naomba kufahamishwa wadau kuhusu hawa maagent wa online wa USA , eti kulingana na security ya marekani Mara nyingi ni wa kweli kulingana na security ya inchi hiyo.
Maana kuna kijana aliona post ya mama mmoja yupo USA anahitaji wapishi, watumishi wa ndani, madereva nk.
Yeye aliomba udereva...
Wale wote waliopitia Ruvu JKT kwa mujibu wa sheria katika Operation miaka 30 ya Uhuru tukutane hapa, watu wamesambaratika, ni vizuri tufahamiane na wapi tulipo.
Habari zenu wadau, mimi nipo Tanga mjini natafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba 3 au 4, naomba Msaada wenu wadau wa JF kama Kuna mtu anaweza kujua, Natanguliza shukrani.
Habari zenu wadau, mimi nipo Tanga mjini natafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba 3 au 4, naomba Msaada wenu wadau wa JF kama Kuna mtu anaweza kujua, Natanguliza shukrani.
Hali zenu wanajukwaa,
Kwa heshima na taadhima ninaomba kama kuna mwanajukwaa atakayeweza kunisaidia nipate matokeo ya mtihani wa darasa la nne mwaka 2013 kutoka baraza la mitihani, naomba sana anisaidie.
Habari zenu wanajamii,
Nashawishika kuuliza hivi kweli inawezekana na ni sheria au ruhusa kwa mtoto kurudishwa nyumbani na kukosa mitihani kwa kuwa mzazi hajalipa ada? Na ikitokea mtoto anekaa nyumbani muda fulani na baadae mzazi akalipa ada baadae, je masomo aliyoyakosa mtoto na mitihani na...
Habari zenu wadau,
Ninaomba kufahamishwa juu ya hizi mizani za mkeka, utakuta gari ya mzigo (semi trailer) zinapita mizani zote bila kuzidi uzito, lakini katika mizani za mkeka lazima kwenye difu excel moja inazidi, unaambiwa ulipe faini, unapohoji unaambiwa kwa zile mizani za group ni sawa...
Wadau naomba kufahamishwa usalama wa hiki kikundi cha kukopesha watanzania cha focus vicoba, Je kuna mtu yeyote amefanikiwa kukopeshwa na kuendana na masharti yao ?
Wadau hebu angalieni attachment hii niliikuta Facebook, hivi huyo mama Janeth Magufuli ameiona hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.