Search results

  1. Abby Senior

    Biashara ya Coltan

    Habari zenu wadau, Ninaomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia kupata madini ya COLTAN ili tuweze kufanya biashara, Mnunuzi yupo tayari. Ahsanteni.
  2. Abby Senior

    Nahitaji kufahamu bei ya mafuta ya alizeti

    Habari zenu wadau, Ninaomba kufahamu bei za mafuta ya alizeti, nahitaji kwa wingi.
  3. Abby Senior

    Uwekezaji nishati

    Habari wadau, Kuna wawekezaji wanataka kuwekeza Tanzania au popote Africa katika sekta ya nishati, je ninaweza kupata wahusika au kama kuna wadau humu tufanye kazi?
  4. Abby Senior

    Msaada: Nimepoteza leseni ya udereva

    Wadau naomba msaada kama kuna mtu yeyote ameiona mahali leseni ya udereva namba 4000549027 anisaidie niipate, namba yangu ya simu ni 0679663661,naomba msaada.
  5. Abby Senior

    Nimepoteza leseni ya udereva

    Wanajamvi habari zenu? Naomba kuleta kwenu taarifa hii ya kupotelewa na leseni yangu ya udereva namba 4000549027. Ninaomba mdau yeyote kama ataiona mahali anipigie namba 0679663661 ili anisaidie niipate leseni hiyo. Natanguliza shukrani zangu.
  6. Abby Senior

    Nahitaji korosho zilizobanguliwa

    Hali zenu wadau naomba kuuliza wapi nitapata korosho zilizibanguliwa kwa wingi, nahitaji kununua kwa wingi, kama kuna mhusika au anafahamu wapi zinapatikana naomba anijulishe
  7. Abby Senior

    Beach Plot(white sand) for sale

    Ninayo beach plot ya ekari 50 ninaiuza Ipo sadani, madalali na wanunuzi karibuni.
  8. Abby Senior

    Nauza Beach Plot (white sand) Sadani

    Ninayo beach plot ya ekari 50 ninaiuza Ipo sadani, madalali na wanunuzi karibuni.
  9. Abby Senior

    Waheshimiwa Kikwete, Mkapa, Mwinyi Busara zenu zinahitajika

    Wadau, Mimi naomba kuuliza, hii nchi yetu ina maraisi wastaafu na mawaziri wakuu wastaafu na wengine ni wanadiplomasia wazuri tu, hivi hakuna utaratibu wa kushauriana na kumshauri Rais kama mambo yanaonekana yanakwenda ndivyo sivyo?? Ni lazima tufahamu kuwa ukubwa wa muembe unatokana na kokwa...
  10. Abby Senior

    Mwenye kujua zaidi juu ya ma agent wa kazi USA

    Naomba kufahamishwa wadau kuhusu hawa maagent wa online wa USA , eti kulingana na security ya marekani Mara nyingi ni wa kweli kulingana na security ya inchi hiyo. Maana kuna kijana aliona post ya mama mmoja yupo USA anahitaji wapishi, watumishi wa ndani, madereva nk. Yeye aliomba udereva...
  11. Abby Senior

    Ruvu JKT 832KJ - Operation ya miaka 30 ya Uhuru

    Wale wote waliopitia Ruvu JKT kwa mujibu wa sheria katika Operation miaka 30 ya Uhuru tukutane hapa, watu wamesambaratika, ni vizuri tufahamiane na wapi tulipo.
  12. Abby Senior

    Masada kupata nyumba ya kupanga Tanga

    Habari zenu wadau, mimi nipo Tanga mjini natafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba 3 au 4, naomba Msaada wenu wadau wa JF kama Kuna mtu anaweza kujua, Natanguliza shukrani.
  13. Abby Senior

    Naomba Msaada kupata nyumba ya kupanga

    Habari zenu wadau, mimi nipo Tanga mjini natafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba 3 au 4, naomba Msaada wenu wadau wa JF kama Kuna mtu anaweza kujua, Natanguliza shukrani.
  14. Abby Senior

    Matokeo ya darasa la nne 2013

    Wanajamvi, Ninaomba kama kuna mtu anayo matokeo ya darasa la nne mwaka 2013 hasa kwa shule za msingi za Tanga mjini anisaidie.
  15. Abby Senior

    Ninahitaji Matokeo ya Darasa la nne 2013

    Hali zenu wanajukwaa, Kwa heshima na taadhima ninaomba kama kuna mwanajukwaa atakayeweza kunisaidia nipate matokeo ya mtihani wa darasa la nne mwaka 2013 kutoka baraza la mitihani, naomba sana anisaidie.
  16. Abby Senior

    Suala la mwanafunzi kurudishwa nyumbani kwa kukosa ada liko vipi?

    Habari zenu wanajamii, Nashawishika kuuliza hivi kweli inawezekana na ni sheria au ruhusa kwa mtoto kurudishwa nyumbani na kukosa mitihani kwa kuwa mzazi hajalipa ada? Na ikitokea mtoto anekaa nyumbani muda fulani na baadae mzazi akalipa ada baadae, je masomo aliyoyakosa mtoto na mitihani na...
  17. Abby Senior

    Wadau wa usafirishaji

    Habari zenu wadau, Ninaomba kufahamishwa juu ya hizi mizani za mkeka, utakuta gari ya mzigo (semi trailer) zinapita mizani zote bila kuzidi uzito, lakini katika mizani za mkeka lazima kwenye difu excel moja inazidi, unaambiwa ulipe faini, unapohoji unaambiwa kwa zile mizani za group ni sawa...
  18. Abby Senior

    Usalama kuhusu FOCUS VIKOBA

    Wadau naomba kufahamishwa usalama wa hiki kikundi cha kukopesha watanzania cha focus vicoba, Je kuna mtu yeyote amefanikiwa kukopeshwa na kuendana na masharti yao ? Wadau hebu angalieni attachment hii niliikuta Facebook, hivi huyo mama Janeth Magufuli ameiona hiyo
  19. Abby Senior

    Wenyeji wa Kabanga, nataka kufanya biashara maeneo ya mpakani

    Nataka kufanya biashara kabanga mpakani naomba kama nitapata namba ya mtu yeyote aliyepo kabanga nifanye nae mawasiliano
  20. Abby Senior

    Nataka kufanya biashara Kabanga Mpakani

    Nataka kufanya biashara kabanga mpakani naomba kama nitapata namba ya mtu yeyote aliyepo kabanga nifanye nae mawasiliano
Back
Top Bottom